YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,906
2015 kuliundwa UKAWA na vyama vilivyounda UKAWA vikakubali kutoweka mgombea Uraisi vimuunge mkono mgombea mmoja tu wa CHADEMA, Lowasa na CUF ilimtoa Duni Haji ajiunge CHADEMA kama mgombea mwenza kumpa nguvu zaidi ya kura Lowassa za Zanzibar na za waislamu.
Vyote vikakubaliana kuwa kwa kuwa kupata ruzuku inategemea kura nyingi za Uraisi wote wakubaliana wapambane kuhakikisha Lowassa anapata kura nyingi zitazofanya CHADEMA ipate ruzuku kubwa Sana Kisha baada ya ushindi CHADEMA kikipata Ruzuku kiwagiwie vyama vingine vilivyo sacrifice kutoweka wagombea Uraisi
Matokeo baada ya Chadema kuanza kupata ruzuku wakagoma kugawia wenzao ikiwemo hata CUF iliyowapa Duni Haji ndio.maana Duni Haji Aliondoka Chadema kwa hasira baada ya kuona Makubaliono yamevunjwa na CHADEMA
Sasa mwaka huu Chadema walipoanza kuviomba vyama vingine vimuunge mkono Lissu vikagoma kuwa mnataka tuwasaidie mpate kura nyingi za kuwawezesha kupata ruzuku hakafu mle peke yenu Kama mlivyotutapeli 2015 hatutaki Kila mtu apambane kivyake na mgombea Uraisi wake.
Ndio sababu kuu ya vyama kugoma. CHADEMA imekuwa ikipita kupiga magoti kuomba isamehewe vyama vingine vimegoma kuwa sio kosa kufanya kosa Mara moja Sio kurudia kosa. Vimegoma.
Utapeli wa CHADEMA safari hii umekwaa kisiki.
Vyote vikakubaliana kuwa kwa kuwa kupata ruzuku inategemea kura nyingi za Uraisi wote wakubaliana wapambane kuhakikisha Lowassa anapata kura nyingi zitazofanya CHADEMA ipate ruzuku kubwa Sana Kisha baada ya ushindi CHADEMA kikipata Ruzuku kiwagiwie vyama vingine vilivyo sacrifice kutoweka wagombea Uraisi
Matokeo baada ya Chadema kuanza kupata ruzuku wakagoma kugawia wenzao ikiwemo hata CUF iliyowapa Duni Haji ndio.maana Duni Haji Aliondoka Chadema kwa hasira baada ya kuona Makubaliono yamevunjwa na CHADEMA
Sasa mwaka huu Chadema walipoanza kuviomba vyama vingine vimuunge mkono Lissu vikagoma kuwa mnataka tuwasaidie mpate kura nyingi za kuwawezesha kupata ruzuku hakafu mle peke yenu Kama mlivyotutapeli 2015 hatutaki Kila mtu apambane kivyake na mgombea Uraisi wake.
Ndio sababu kuu ya vyama kugoma. CHADEMA imekuwa ikipita kupiga magoti kuomba isamehewe vyama vingine vimegoma kuwa sio kosa kufanya kosa Mara moja Sio kurudia kosa. Vimegoma.
Utapeli wa CHADEMA safari hii umekwaa kisiki.