Hapa JF tunapigana vijembe na hasa watu wa CHDEMA wakijaribu kuonesha kwamba wao wako fit kuliko CCM na kwa ujumla hawazungumzii vyama vingine utadhani kweli nchi hii ni ya CCM na CDM. CCM wana udhaifu wa kuwa na viongozi ambao wanahangaikia kuiba na kujitajilisha na chama kuwa maficho ya watu waharifu. Kwa upande wa pili tuna tatizo la kukosa mbadala.
Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.
Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.
Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?
Hawa wanaojiita upinzani wako hoi, taaban. Hawajitambui kabisa na wengi wao hawajawahi kushika ofisi ya serikali. Ni vyama vilivyojaa migogoro ya kuibiana pesa, kubaguana ndani ya chama, makundi na ukabila wa wanaojiona wao ndo chama na wengine wamekaribishwa tu, rushwa ya ngono ili kupata vyeo, ulevi, kuuza madwa ya kulevya, kushitaki Ulaya na US ili kupata msaada, kukubali ushoga, n.k. Hizi ni dalili za kutojua maana ya diplomasia na jinsi gani serikali huendeshwa.
Ktk hali hiyo, hata kama CCM ni wadhaifu nani awaachie serikali ya mwaka 2020? Chama kama CDM kilikuwa kizuri kabla ya mwaka 1961 ingawa pia Nyerere alikuwa ana ufahamu wa serikali inavyoendeshwa na alijivunia u-Tanzania. Siyo hawa wanaojizungusha Ulaya na US ili kusaidiwa.
Je, Wanapewa masharti gani ya kusaidiwa?