umri

Jalaluddin Umri (Born 1935) is a writer and a religious scholar. He was the Amir of Jamaat-e-Islami Hind from 2007-2019. Now Syed Sadatullah Husaini is elected as the Amir for the term of 2019 – 2023.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Habari zenu natafuta marafiki umri 30-39

    Habari zenu naitwa esarisa nipo dar nina miaka 30.natafuta marafiki umri 30-39 nicheck tafadhalii
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri unaenda sijisikii kabisa kuoa

    Umri wangu ni miaka 34 kwa sasa, Nina kazi as mwalimu, nafanya biashara na kilimo sana, nina nyumba zangu nilizojenga na nyingine za urithi, Nina mtoto mmoja namhudumia, mzazi mwenzangu nilishamtolea mahali yote kifupi kwa maisha ya kitanzania kwangu si Haba sana. Changamoto niliyonayo kubwa...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa umri gani anapaswa kuvaa barakoa?

    Watoto wenye umri wa miaka 5 kushuka chini hawatakiwi kuvaa barakoa Hii ni kwa sababu ya usalama na uwezo wa mtoto kutumia barakoa ipasavyo bila msaada wa mtu mzima. WHO na UNICEF wanashauri kwamba uamuzi wa kutumia barakoa kwa watoto wenye umri wa miaka 6-11 unapaswa kuzingatia mambo...
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana umri unaenda sasa muanze kuwa serious. Shauri yenu, mtakuja kutulaumu bure

    Jamaa yangu ana mdogo wake kamaliza chuo mwaka Jana. Amekaa Mtaani kodi imeisha akakosa pa kukaa. Kaka yake ni mtu wangu wa karibu. Akanambia mdogo wake anakosa pa kukaa. Jamaa yupo Dodoma. Pale home nina Servant Quarter. Nikamwambia aje akae pale mpaka akichoka. Vyumba viwili, jiko,s ebule na...
  5. mgt software

    JamiiForums Tanzania Umri wa kuanza darasa la kwanza uanzie miaka 10, sababu hizi hapa

    Wana JF Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili huchelewa kukomaa kupata uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la kwanza. 1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Umri sahihi wa msichana kuolewa ni upi?

    Msichana anatakiwa aingie kwenye ndoa akiwa na umri gani na pia aanze kuzaa akiwa na umri gani? 20, 21,22, 23, 24, 25,26 au 27?
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanandoa wanapopishana umri kwa miaka mingi changamoto za magonjwa ya uzeeni zifikiriwe

    Msemo wa age is just a number ndiyo habari ya mjini. Babu wa miaka 70 anafunga ndoa na binti wa miaka 25. Au bibi wa 55 anaolewa na kijana wa 35. Mwanamama mtunzi wa vitabu aitwae Jacque Collins aliwahi kusema tofauti ya umri kati ya wanandoa ikiwa kubwa sana mara nyingi mmoja wapo kati...
  8. Daisy Llilies

    JamiiForums Tanzania Ni muhimu kutunza afya yako muda wote, haijalishi una umri gani

    Jirani yangu hapa ninapoishi ni watu wenye uwezo wao. Wote wawili walikua na taaluma na walistaafu. Walijenga nyumba ya ghorofa ya vyumba sita vya kulala. Nyumba ya nyuma walipangisha. Miaka mitano iliyopita mzee alifariki. Mama ameachwa akiwa na miaka 60+ lakini ni mama wa kileo sana na...
  9. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Dalili gani zinakujulisha kuwa umri umesogea?

    Kuna mama niliongea nae, aliniambia ukikutana na traffic ukawaona ni vijana wadogo au daktari hospitali ukamuona ni kama mjukuu wako. Hapo hakuna ubishi wa chumvi uliyoila duniani.
  10. E

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta rafiki wa kike, Umri 21-22

    E
  11. sky soldier

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeelewa kwaninj wanawake wanataka wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 30

    Habarini wanajukwaa. Mwezi ujao naingia miaka 31 kwa sasa nipo ukingoni mwa 30. Kwa nipo na mke wangu tukiwa na watoto wawili. Maishani mwangu nilianza rasmi kuwa na mahusiano serious ya kimapenzi nikiwa na umri wa miaka 17. Nikiri tu ya kwamba tangu nikiwa umri huo mpaka nafikia 30 kwa...
  12. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Tanzania bado nchi masikini sana, 90% ya magari yanayotimika Tanzania yana umri zaidi ya miaka 10

    Nashukuru mwaka jana baada ya uchaguzi waziri Mpango alikiri kua umasikini Tanzania ndio nyumbani kwao. Ukitaka kujua kama raia wa Tqnzania ni mafukara angalia, magari zaidi ya 90% yanayotembea Tanzania ukiachia magari ya serikali yana umri zaidi ya miaka 10. Maana yake ni kua watanzania bado...
  13. ommytk

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wanaringa; kijana una umri miaka 36 hujawahi kutumia choo cha shimo kweli?

    Wanajf naomba kushare hii story Jana tulikuwa njiani toka Shinyanga to Dodoma na wadau wangu tukiwa njiani mshkaji tumbo linamsumbua nikapaki gari kwenye kamji kadogo jamaa aende kujisave tumekaa dakika chache karudi kasema big no apawezi eti choo cha shimo hajawahi kutumia toka azaliwe nisogee...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Mkanganyiko wa umri wa Mtoto na umri wa kuolewa Kisheria

    Kwa mujibu wa kifungu namba 4 (1) ya Sheria ya Mtoto inaeleza Mtoto ni mtu yeyote aliye chini ya miaka kumi na nane (18) Lakini Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 katika kifungu cha 13 kinaruhusu Mtoto wa kike kuozwa akiwa na umri wa miaka 14. Hivyo Sheria hizi mbili zinakinzana na kusababisha...
  15. Magari ya Biashara

    JamiiForums Tanzania Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  16. ommytk

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna muda au umri wa kuoa au kuolewa?

    Habari JF, Wakuu naomba ufafanuzi mdogo hivi kuna umri flani ukifika inabidi kuoa au kuolewa, yaani kuna muda inabidi uwe kwenye ndoa. Na je, ni umri gani? Na hii ni kwa dunia nzima au? Utakuta mtu bado maisha yako mwenyewe peke yako ujiwezi wazee na majirani wakija kila siku wanaulizia huyu...
  17. Binadamu Mtakatifu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri gani sahihi kupata mtoto?

    Wakuu natumai mu wazima. Kama una girlfriend amekuzidi miaka 2 je ni umri gani sahihi wa kupata mtoto ikiwa mimi niko 20yrs na nina kazi yangu na gari. Ushauri tafadhali
Back
Top Bottom