mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF
Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili huchelewa kukomaa kupata uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la kwanza.
1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji kama kitu sio sahihi.
2. Waliokosa lishe bora huwa ndio wakati ambao makuzi ya akili yanakuwa sawa.
3. Mtoto hadanganyiki kirahisi na akifanyiwa vitu vya unyanyasaji wa kijinsia ana uweza wa kumweleza mama yake au baba yake.
4. Ni umri ambao vipaji huchipuka mtoto kujua anapenda nini Na ana kipaji gani.
5. Kutokukubali kuonewa na mtu yeyote Kwa kuwa sio muoga.
6. Urahisi wa kuweza masomo walimu hawapati shida.
7. Kama shule ipo mbali huyu ndiye mwenye uwezo wa kutembea umbali mrefu.
8. Akimaliza darasa la saba anaweza kusaidia shughuli za kilimo au kuanza kujitegemea
9. Hauhitaji kumlea kama mtoto ikiwa hakufaulu kuendelea na masomo.
10. Kutokana na umri anakuwa amepunguza michezo mingi hatarishi kwa kuwa tayari ana uelewa
Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.
Makuzi ya binadamu wa mtanzania yanapitia magumu mengi, hivyo pia akili huchelewa kukomaa kupata uelewa wa kujifunza kitu Kwa umakini. Natoa sababu Kwa nini umri miaka 10 ndio unafaa mtoto kuanza la kwanza.
1. Umri ukiwa miaka kumi mtoto anakuwa amekomaa, huondoa woga na anaweza kuhoji kama kitu sio sahihi.
2. Waliokosa lishe bora huwa ndio wakati ambao makuzi ya akili yanakuwa sawa.
3. Mtoto hadanganyiki kirahisi na akifanyiwa vitu vya unyanyasaji wa kijinsia ana uweza wa kumweleza mama yake au baba yake.
4. Ni umri ambao vipaji huchipuka mtoto kujua anapenda nini Na ana kipaji gani.
5. Kutokukubali kuonewa na mtu yeyote Kwa kuwa sio muoga.
6. Urahisi wa kuweza masomo walimu hawapati shida.
7. Kama shule ipo mbali huyu ndiye mwenye uwezo wa kutembea umbali mrefu.
8. Akimaliza darasa la saba anaweza kusaidia shughuli za kilimo au kuanza kujitegemea
9. Hauhitaji kumlea kama mtoto ikiwa hakufaulu kuendelea na masomo.
10. Kutokana na umri anakuwa amepunguza michezo mingi hatarishi kwa kuwa tayari ana uelewa
Kumbukumbu zinaonyesha wengi waliofanikiwa wengi walianza shule wakiwa na miaka 12.