Ajira TAMISEMi: Kwanini umri zaidi ya miaka 35 hawaruhusiwi?

Ndokeji

JF-Expert Member
Jun 9, 2011
698
475
Tamisemi kushirikiana na Shirika la Benjamin William Mkapa wametangaza ajira za mda:sifa za muombaji asizidi miaka 35 ,je hawa wenye miaka 36 nakuendelea kuna sheria ipi inayofanya muwe na kigezo cha umri? Miaka 5 na miez 4 Watu wako mitaani sasa mnapokuja na kigezo cha umri mnamanisha nini?

Screenshot_20210419_184544.jpg
 
Pambana na serikali ijali sekta binafsi ili upate ajira. Serikali yako haitaki wazee😂
 
Mkuu watu wana ajiri mtu wanaeona anawafaa,, serikali hiko kigezo kimekuwa kwa mda mrefu sana..

Mbona Jeshini kujiunga mwisho miaka 25 na hujawai kuuliza?
 
Sheria ya ajira inasemaje juu ya umri

Mkuu hio sifahamu,, ila hicho kigezo kwenye nafasi za serikali nyingi kipo.

Cha ajabu bado wastaafu wanapeana ukurugenzi tu na vijana wanaachwa.

Tupe maelezo sheria ya ajira inasemaje.???
 
Kutumika katika public service ni 30 years unastafu,
Mathematicaly:-
35years+30 years= 65years
Now.
Kwa Kuwa umri wa kustaafu ni pale unapofikia miaka 60,
Therefore,
Kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu hana sifa ya kuajiliwa katika public service.
N:B
Utaratibu huu hautumiki katika vyeo vya kuteuliwa
 
Kutumika katika public service ni 30 years unastafu,
Mathematicaly:-
35years+30 years= 65years
Now.
Kwa Kuwa umri wa kustaafu ni pale unapofikia miaka 60,
Therefore,
Kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu hana sifa ya kuajiliwa katika public service.
N:B
Utaratibu huu hautumiki katika vyeo vya kuteuliwa
Acha kupotosha , public service act inaruhusu mwisho 45.
Miaka 15 inatosha muwa pensionable .
15+45= 60 ya kustaafu.
 
Tamisemi kushirikiana na Shirika la Benjamin William Mkapa wametangaza ajira za mda:sifa za muombaji asizidi miaka 35 ,je hawa wenye miaka 36 nakuendelea kuna sheria ipi inayofanya muwe na kigezo cha umri? Miaka 5 na miez 4 Watu wako mitaani sasa mnapokuja na kigezo cha umri mnamanisha nini?

View attachment 1756803
Pamoja na kuhoji, je hilo tangazo ni sahihi/genuine?
 
Kutumika katika public service ni 30 years unastafu,
Mathematicaly:-
35years+30 years= 65years
Now.
Kwa Kuwa umri wa kustaafu ni pale unapofikia miaka 60,
Therefore,
Kuanzia umri wa miaka 35 kwenda juu hana sifa ya kuajiliwa katika public service.
N:B
Utaratibu huu hautumiki katika vyeo vya kuteuliwa
Nani kasema.
 
Kwanza tangazo lenyewe ni feki,
pili kuhusu umri,serikali inaajiri mwisho mwenye miaka 45 ambapo huyu mpaka umri wa kustaafu 60yrs atakua amekidhi vigezo vya kupata pension i.e miezi 180.
 
Tamisemi kushirikiana na Shirika la Benjamin William Mkapa wametangaza ajira za mda:sifa za muombaji asizidi miaka 35 ,je hawa wenye miaka 36 nakuendelea kuna sheria ipi inayofanya muwe na kigezo cha umri? Miaka 5 na miez 4 Watu wako mitaani sasa mnapokuja na kigezo cha umri mnamanisha nini?

View attachment 1756803
Mkuu unataka kuwatapeli watoto wetu, sivyo? Tangu lini serikali ni ikatumia barua pepe ya namna hiyo we mbwaa?
 
Tanapa walitangaza chini ya miaka 30 Mimi nilikuwa nishafika 31maana toka nimalize chuo 2015 ajira zilikuwa hazitoka

Kwahyo unamegwa tu ukapambane na hali yako
 
Back
Top Bottom