Siri Za Ulimwengu Za Fichuka

Siri Za Ulimwengu Za Fichuka

B M F ICONIC

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
995
Reaction score
1,962
Mambo usiyoyajua kuhusu ulimwengu. Kachukue nakala yako mwenyew ndani . Freebibleaccess doti kimu
Kajionee mwenye mambo ambayo yalifichwa au taarifa zilizofichwa zisipatikane kwa kila mtu
 
Fafanua kidogo...
Kuna nyaraka yaan PDF taarifa za CIA, Freemason, vitabu vilivyotolewa kwenye biblia, new world order, jinsi ya kutengeneza dawa za mitishamba.
Tuseme tu ni siri za dunia wasizotaka huzijue

Hii ni baada ya kumua alietaka kuziachia izi nyalraka juzi Joe Felz. Alikua whistle brower Chukua nyaraka zaki mapema
 
Kuna nyaraka yaan PDF taarifa za CIA, Freemason, vitabu vilivyotolewa kwenye biblia, new world order, jinsi ya kutengeneza dawa za mitishamba.
Tuseme tu ni siri za dunia wasizotaka huzijue

Hii ni baada ya kumua alietaka kuziachia izi nyalraka juzi Joe Felz. Alikua whistle brower Chukua nyaraka zaki mapema
Anhaa! Sasa nimeelewa.
 
Hizo siri unazosema zimefichwa, mbona zipo Google tangu mwaka 2010?
Niletee pdf za CIA google tu diwnload
Screenshot_20260812-112444_Chrome.png
Screenshot_20260812-112740_WPS Office.png
 
PDF za CIA uzi-download hapa? Are you serious? Hizi siri za ulimwengu unazozisema kumbe hata CIA Reading Room huijui? Google tu CIA FOIA Electronic Reading Room kila kitu kipo wazi kule.
Ungetembelea web utaelew. Kinachoendelea dunian. Ni whistlebrower kaamua kuvujisha Document kwenye io website. Search Joe Felz utaelew usikaz fuvu
 
Ungetembelea web utaelew. Kinachoendelea dunian. Ni whistlebrower kaamua kuvujisha Document kwenye io website. Search Joe Felz utaelew usikaz fuvu
Eti whistleblower? Hivi unajua maana ya whistleblower kweli au umekariri neno? Joe Felz alikuwa anadigitize vitabu vya kale vya dini na mambo ya free energy, hakuna nyaraka za siri za serikali hapo. Stop panicking for nothing!
 
Eti whistleblower? Hivi unajua maana ya whistleblower kweli au umekariri neno? Joe Felz alikuwa anadigitize vitabu vya kale vya dini na mambo ya free energy, hakuna nyaraka za siri za serikali hapo. Stop panicking for nothing!
Ila wabongo bana. Panicking imetoka wapi
Kuna kitabu nilikua nakitafta ngoja niingie chimbo nitafte mitishamba nianze kazi . Ivo vitabu ww ungevitoa wap. Vina madini ndo maana wanataka kuvipoteza
Screenshot_20260812-115500_WPS Office.png
Screenshot_20260812-114807_WPS Office.png

Naini akuruhusu uanze kutumia mitishamba. Viwanda vyao vya dawa viyumbe.
# Point hapo ni kuna taarifa nyingi kwenye vitabu ambavyo hawapend watu kuipata . Kuna madini mengi kwenye vitabu
 
Eti whistleblower? Hivi unajua maana ya whistleblower kweli au umekariri neno? Joe Felz alikuwa anadigitize vitabu vya kale vya dini na mambo ya free energy, hakuna nyaraka za siri za serikali hapo. Stop panicking for nothing!
We huwez elewa mindset z UVccm una shida sana
 
Ila wabongo bana. Panicking imetoka wapi
Kuna kitabu nilikua nakitafta ngoja niingie chimbo nitafte mitishamba nianze kazi . Ivo vitabu ww ungevitoa wap. Vina madini ndo maana wanataka kuvipoteza
View attachment 3648900View attachment 3648901
Naini akuruhusu uanze kutumia mitishamba. Viwanda vyao vya dawa viyumbe.
# Point hapo ni kuna taarifa nyingi kwenye vitabu ambavyo hawapend watu kuipata . Kuna madini mengi kwenye vitabu
Hakuna anayekukataza kusoma, nenda chimbo ukasome vizuri! Ila ukweli utabaki palepale, umelubuniwa na scam ya mtandaoni inayovuma na kudhani umeigundua Marekani. Ukimaliza kusoma hivyo vitabu vya mitishamba, uje ututengenezee na dawa ya kuondoa ujuaji!
 
We huwez elewa mindset z UVccm una shida sana
Hahah umeishiwa hoja na wala hauwezi kuwa na hoja mdogo wangu, kubali tu umeingia kwenye mtego wa conspiracy theories za mtandaoni na tovuti feki, mambo ya vyama yanatoka wapi hapa? Stick to the topic
 
Hakuna anayekukataza kusoma, nenda chimbo ukasome vizuri! Ila ukweli utabaki palepale, umelubuniwa na scam ya mtandaoni inayovuma na kudhani umeigundua Marekani. Ukimaliza kusoma hivyo vitabu vya mitishamba, uje ututengenezee na dawa ya kuondoa ujuaji!
Tatizo lako una take mambo personal. Whistlebrower sisi tunachukulia kama msanuaji. Ishu y kupata nyaraka za CIA mbona kawaid sana kina John kiakou wanaziachia kule dark web, epstein file zote zpo kule ndichi . Wewe umezoea kutumia google ukazani ndo taarif zote zimo umo. Kun vitu vinaitwa classfied information vinafichwa from public knowledge. Sema kam unatak video z trump nikutumie
 
Tatizo lako una take mambo personal. Whistlebrower sisi tunachukulia kama msanuaji. Ishu y kupata nyaraka za CIA mbona kawaid sana kina John kiakou wanaziachia kule dark web, epstein file zote zpo kule ndichi . Wewe umezoea kutumia google ukazani ndo taarif zote zimo umo. Kun vitu vinaitwa classfied information vinafichwa from public knowledge. Sema kam unatak video z trump nikutumie
Eti faili za Epstein zipo Dark Web? Zile nyaraka zote za kesi ya Epstein zilitolewa rasmi na mahakama ya Marekani na zipo kwenye mtandao wa kawaida kila mtu anazisoma. Sio kila faili la siri lipo Dark Web, mengine yapo wazi sema tu wavivu wa kusoma hamuyajui!
 
Hatuna mda kusoma soma summarize wewe hizo siri tujadili
 
Back
Top Bottom