Ilikuwa ni December 2004,,,ni miaka 20 iliyopita katika Mkoa wa Shinyanga _Tinde.
Miaka hiyo kulikuwa na fisi wa kutosha...nilikuwa nimekosa nauli ya kwenda krismas Moshi,,,,,hivyo nyakati za jioni tunaweka mkeka nje kwenye mbalamwezi huku tukinywa pombe ya gongo iliyotengenezwa kwa...