ulimwengu

Thomas Emanuel Ulimwengu (born 14 June 1993) is a Tanzanian football striker who is currently playing as a forward for TP Mazembe and the Tanzania national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa roho kwa yanayojiri Tanzania

    Unajua mauaji yaliyotokea katika ulimwengu wa roho yalipangwa? Muaji alishakubariana katika ulimwengu wa roho ili aweze kutoa kafara ya sadaka, kwa wanaotizama kwa jicho la tatu hilo wanalijua. Lakini wale wenye macho matatu wameshajua mpango mzima na muuaji nguvu zake zimeanza kupungua hana...
  2. N

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jenerali Ulimwengu aonya vikali mauaji ya raia wema wanaopambania nchi yao

    Namnukuu "Hakuna kabisa msamaha au sababu zinazoweza kuhalalisha kile kinachotokea Tanzania sasa hivi — uuaji wa watu wetu; kabisa hakuna! Acha wazimu huu wa kudhani kwamba watu wetu ni watumwa wenu na hawawezi kujiondoa chini ya mnyororo wa utumwa wenu. Ndiyo, wanaweza na watafanya hivyo, na...
  3. OLS

    JamiiForums Tanzania Natafakari maneno ya Jenerali Ulimwengu kwamba hii nchi inaugua

    Hivi karibuni kulikuwa namjadala pale Four Points ambapo wadau mbalimbali wasiasa walihudhuria kujadili masuala ya ukatili dhidi ya wanawake wakati wa uchaguzi. Katika watu waliokuwepo ni pamoja na msajili wa vyama vya siasa, na Jenerali Ulimwengu. Katika maoni mzee Ulimwengu aliongea wazi...
  4. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Mambo muhimu 2 ya kuzingatia katika ulimwengu huu wa watu kupenda fedha kuliko kumpenda Mungu

    Kwanini nimeandika Uzi huu? Kuna Uzi mmoja nimeusoma humu na kuna jambo moja wiki iliyopita lilitokea. Jamaa mmoja tulionana kujadili issue fulani ya kibiashara (dili). Jamaa anaona kama namtupa kwenye game akataka kujua kikwazo nini. Nilimweleza jambo la kawaida tu ila jamaa akawa serious...
  5. Shakira M. Selemani

    JamiiForums Tanzania Siri ya kweli ya ulimwengu wa Freemasons

    SIRI YA KWELI YA ULIMWENGU WA FREEMASONS: 👉🏿Freemasonry limekuwa ni habari na shirika kubwa ambapo wengi wanahangaika kuhusu Freemasonry. Freemasonry wenyewe hasa speculative Freemasonry (Freemasonry ya kisasa ya hivi karibuni) wanaeleza kuwa chimbuko lake ni kutoka katika zama za kati kutoka...
  6. kakakwetu

    JamiiForums Tanzania Mipaka ya maarifa ya binadamu: safari ya uelewa wa ulimwengu na yale yasiyoguswa

    Binadamu ameendelea kufanya ugunduzi mkubwa kuhusu ulimwengu anaouishi. Kupitia sayansi, teknolojia, falsafa na dini, tumeweza kuelewa kwa sehemu baadhi ya siri za asili, maisha, na mazingira yanayotuzunguka. Hata hivyo, pamoja na maendeleo hayo, bado kuna maswali ambayo yanabaki bila majibu ya...
  7. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa kujitambua

    Vipi nikikuambia... ulimwengu hausogei hadi WEWE usogee? 🌌 Watu wengi husubiri ishara, hatima, au ruhusa. Lakini ukweli ni huu—WEWE ndiye nguvu ya kutenda. Maisha huinama kulingana na mitetemo unayoitoa. Funga macho kwa sekunde moja... tafakari ukitamka neno, halafu kila kitu katika uhalisia...
  8. KENZY

    JamiiForums Tanzania Kuna ombwe juu ya chanzo chetu na ulimwengu!

    Huu mjadala nitahitaji ukae hivi mapema kabisa ili niweze kueleweka kabla sijagusia kitu chochote!. Maswali mengi tunayojiuliza na hatujapata majibu mpaka sasa juu ya chanzo cha ulimwengu na chanzo chetu!, ni kwasababu kuna kitu ama vitu hatujavijua bado!. Sina hakika sana kama tutakuja...
  9. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Hizi channel wanaopiga nyimbo 24/7 ni kwamba katika ulimwengu huu kuna nyimbo wanayo mtandaoni haipo ama?

    Upande wa tv kama wasafi, crown, trace, mtv kila ukifungua ni nyimbo, bussiness model ya hizi channel ikoje
  10. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Tazama, mwanakondoo wa Mungu, aichukuaye dhambi ya ulimwengu!

    [Yoh1:6]Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana. [Yoh1:7]Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye. [Yoh1:8]Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru. [Yoh1:19]Na huu ndio ushuhuda wake Yohana, Wayahudi walipotuma...
  11. nodetz

    JamiiForums Tanzania Mifano inayoweza kuleta maana pale unapo linganisha dunia na ulimwengu

    Mfano wangu wa kuilinganisha dunia na ulimwengu. Tuseme umebeba mzigo ambao unauzito wa ulimwengu wote halafu kwenye kutembea ukaidondosha dunia. Basi hauta hisi kama umepoteza chochote atakama utaenda kupima kwenye mzani wenye sensors za kisasa bado hauwezi kugungua tofauti yoyote kama...
  12. H

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu umebadilika? Kwanini nyakati hizi watawala wanawake wanaonesha ukatili wa kiwango cha ajabu?

    Kimazoe, mwanadamu wa jinsia ya kike, kwa kiasi kikubwa alionekana ni mtu mwema zaidi, mnyenyekevu zaidi, msikivu zaidi, asiye mdhulumaji. Ilikuwa siyo kawaida kumpata mwanamke akiwa jambazi. Lakini siku zinavyoenda mambo yamebadilika sana. Wanawake wa sasa, wengi wao, hasa waliopata nafasi za...
  13. FYATU

    JamiiForums Tanzania Hivi tunajisikiaje kuishi kwenye ulimwengu ambako majibu ya maswali ya msingi karibia yote majibu anayo jirani?.We upo tu.

    Kuna wakati nawaza sana mpaka nachoka kuhusu nafasi yangu mimi Mweusi hapa ulimwenguni. Huwa najaribu kutengeneza picha kuwa siku moja Mwenye enzi Mungu amekuja na kuitisha kikao,na kati ya maswali laki moja atakayouliza maswali elfu tisini na tisa mia tisa tisini na tisa yatajibiwa na kutolewa...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Cosmic Singularity: Je, hii ni hoja inayojitosheleza kueleza ulimwengu ulivyoumbwa?

    Naomba wale wenye uelewa tujadili. When time (t) was t=0, and space and matter were not existing, hiyo singularity point ilitokea wapi mpaka kuleta Big Bang iliyoumba ulimwengu? Is it just a mathematical way of explaining things that have baffled human minds? Will our minds ever grasp the...
  15. FYATU

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hizi barabara za Mwendo kasi zifanye biashara?

    Kuwekwe kiwango fulani cha tozo kwa Gari binafsi kwa wale wanaotaka kutumia miundo mbinu hiyo ili kukwepa kero sugu ya foleni ya jijini Dar. Mathalani waweza kuchaji Gari dogo shilingi elfu hamsini kutokea Kariakoo au Ferry mpaka Mbezi au Kibaha au Chalinze siku wakifikia huko. Naamini kabisa...
  16. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya ulimwengu usiofahamika kwa wengi

    Ilikuwa ni December 2004,,,ni miaka 20 iliyopita katika Mkoa wa Shinyanga _Tinde. Miaka hiyo kulikuwa na fisi wa kutosha...nilikuwa nimekosa nauli ya kwenda krismas Moshi,,,,,hivyo nyakati za jioni tunaweka mkeka nje kwenye mbalamwezi huku tukinywa pombe ya gongo iliyotengenezwa kwa...
  17. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka leo mitaala ya elimu yetu ni ile wanasoma Bunsen burner

    Leo nimejiuliza sana baada kuona mtoto mwenye umri wa miaka 12 akichapa programming python wakati mimi nimekuja kuijua umri ushakwenda tena kwa tabu. Yani mtoto huyu elimu wanazopata zinakwenda na mazingira ya dunia inavyotaka.Kwa nini kwetu bado tuna elimu zile zile ambazo sio msaada kwa...
  18. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuwa mtu mwenye Nguvu juu ya ulimwengu huu usifanye mapenzi

    Hawa watu wasiofanya mapenzi kwa namna yoyote ile hata kwa kuifikiria kwenye ubongo wao katika ulimwengu wa sayansi ya kiroho hawa ndio binadamu hatari zaidi kuwepo duniani. Hawa binadamu wa hivi shetani na malaika zake humwogopa kuliko unavyoweza kufikiria kwasababu ukiacha kufanya mapenzi ya...
  19. Surya

    JamiiForums Tanzania Mifumo miwili inayotawala ulimwengu

    Kila unachokifahamu kuhusu wewe na kuhusu dunia ni taarifa kutoka kwa Wazazi, Ndugu, Pastor au Shehe, Mwalimu. Binadamu anapozaliwa huja duniani na kuwekwa kwenye Mwanga, Mwanga ni kitu muhimu sana kwa binadamu, Hakuna mmea wa ardhini ambao unaweza kukuwa vizuri bila mwanga (Light). Huwezi...
  20. Bwege2030

    JamiiForums Tanzania Siasa na ulimwengu ulitudanganya, Usiruhusu kukuharibu

    ULIMWENGU ULITUDANGANYA. USIRUHUSU KUKUHARIBU. Walikuwa sanamu zetu za vijana, sasa, hata mashabiki wao hawazitambui. Nini kilitokea? Umaarufu ulitokea. Shinikizo lilitokea. Uongo wa "fanya chochote kinachokufurahisha" ulitokea. Tuliwatazama wakiwaka, sasa tunawatazama wakififia. Ni wito wa...
Back
Top Bottom