ulimwengu

Thomas Emanuel Ulimwengu (born 14 June 1993) is a Tanzanian football striker who is currently playing as a forward for TP Mazembe and the Tanzania national football team.

View More On Wikipedia.org
  1. FYATU

    JamiiForums Tanzania Hivi tunajisikiaje kuishi kwenye ulimwengu ambako majibu ya maswali ya msingi karibia yote majibu anayo jirani?.We upo tu.

    Kuna wakati nawaza sana mpaka nachoka kuhusu nafasi yangu mimi Mweusi hapa ulimwenguni. Huwa najaribu kutengeneza picha kuwa siku moja Mwenye enzi Mungu amekuja na kuitisha kikao,na kati ya maswali laki moja atakayouliza maswali elfu tisini na tisa mia tisa tisini na tisa yatajibiwa na kutolewa...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Cosmic Singularity: Je, hii ni hoja inayojitosheleza kueleza ulimwengu ulivyoumbwa?

    Naomba wale wenye uelewa tujadili. When time (t) was t=0, and space and matter were not existing, hiyo singularity point ilitokea wapi mpaka kuleta Big Bang iliyoumba ulimwengu? Is it just a mathematical way of explaining things that have baffled human minds? Will our minds ever grasp the...
  3. FYATU

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hizi barabara za Mwendo kasi zifanye biashara?

    Kuwekwe kiwango fulani cha tozo kwa Gari binafsi kwa wale wanaotaka kutumia miundo mbinu hiyo ili kukwepa kero sugu ya foleni ya jijini Dar. Mathalani waweza kuchaji Gari dogo shilingi elfu hamsini kutokea Kariakoo au Ferry mpaka Mbezi au Kibaha au Chalinze siku wakifikia huko. Naamini kabisa...
  4. nzalendo

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya ulimwengu usiofahamika kwa wengi

    Ilikuwa ni December 2004,,,ni miaka 20 iliyopita katika Mkoa wa Shinyanga _Tinde. Miaka hiyo kulikuwa na fisi wa kutosha...nilikuwa nimekosa nauli ya kwenda krismas Moshi,,,,,hivyo nyakati za jioni tunaweka mkeka nje kwenye mbalamwezi huku tukinywa pombe ya gongo iliyotengenezwa kwa...
  5. Fbn

    JamiiForums Tanzania Hivi mpaka leo mitaala ya elimu yetu ni ile wanasoma Bunsen burner

    Leo nimejiuliza sana baada kuona mtoto mwenye umri wa miaka 12 akichapa programming python wakati mimi nimekuja kuijua umri ushakwenda tena kwa tabu. Yani mtoto huyu elimu wanazopata zinakwenda na mazingira ya dunia inavyotaka.Kwa nini kwetu bado tuna elimu zile zile ambazo sio msaada kwa...
  6. Hyrax

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kuwa mtu mwenye Nguvu juu ya ulimwengu huu usifanye mapenzi

    Hawa watu wasiofanya mapenzi kwa namna yoyote ile hata kwa kuifikiria kwenye ubongo wao katika ulimwengu wa sayansi ya kiroho hawa ndio binadamu hatari zaidi kuwepo duniani. Hawa binadamu wa hivi shetani na malaika zake humwogopa kuliko unavyoweza kufikiria kwasababu ukiacha kufanya mapenzi ya...
  7. Surya

    JamiiForums Tanzania Mifumo miwili inayotawala ulimwengu

    Kila unachokifahamu kuhusu wewe na kuhusu dunia ni taarifa kutoka kwa Wazazi, Ndugu, Pastor au Shehe, Mwalimu. Binadamu anapozaliwa huja duniani na kuwekwa kwenye Mwanga, Mwanga ni kitu muhimu sana kwa binadamu, Hakuna mmea wa ardhini ambao unaweza kukuwa vizuri bila mwanga (Light). Huwezi...
  8. Bwege2030

    JamiiForums Tanzania Siasa na ulimwengu ulitudanganya, Usiruhusu kukuharibu

    ULIMWENGU ULITUDANGANYA. USIRUHUSU KUKUHARIBU. Walikuwa sanamu zetu za vijana, sasa, hata mashabiki wao hawazitambui. Nini kilitokea? Umaarufu ulitokea. Shinikizo lilitokea. Uongo wa "fanya chochote kinachokufurahisha" ulitokea. Tuliwatazama wakiwaka, sasa tunawatazama wakififia. Ni wito wa...
  9. U

    JamiiForums Tanzania Jenerali Ulimwengu: Nchi ni kama haina uongozi. Kwa hali hii ya kisiasa, kuna jambo baya laweza kutokea wakati

    https://youtu.be/pbWyJh60zWk?si=arsKsXtmfdkBEJf- Huyu mzee amewahi kuwa kiongozi Mwandamizi wa serikali ktk awamu za u Rais wa Nyerere, Mzee Mwinyi na mpaka awamu ya Mkapa na anachokisema hapa ni wazi anakijua, habahatishi Anashangaa kuwa, kuna watu (viongozi) ukiwaona wamevaa suti au kanzu...
  10. Tajiri Tanzanite

    JamiiForums Tanzania Nadhani viumbe vilivyoko kwenye ulimwengu wa roho hazina kazi ya kufanya ndio maana muda wote wanahaninga na wanadamu

    Hapo vip!!kwa uhalisia uliopo nikwamba viumbe kama majini,mapepo,mashetani,n.k wapo busy sana kufuatilia na kuharibu maisha ya mwanadamu kwa kushirikiana na wachawi na kwa tafsiri hii inaonyesha hivi viumbe vimekaaa kakaa tu huko pasipo na kazi ya kufanya kama mwanadamu,kwa ujumla ni viumbe vya...
  11. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Dunia na Ulimwengu ulitokea wapi?

    DUNIA NA ULIMWENGU ULITOKEA WAPI? BIG BANG ni mlipuko mkubwa ajabu sana ambao ulitokea hapo kale ikihusisha dark energy/nishati nyeusi au nishati ya kiza na chanzo cha nishati hiyo ya giza haijulikani ni nini wana sayansi wanadai ndani ya hiyo nishati ya kiza ilizaa kila kitu unachokiona...
  12. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu hauna nje wala ndani ,yani ndani ndio nje ,nje ndio ndani

    ULIMWENGU HAUNA NJE WALA NDANI ,YANI NDANI NDIO NJE ,NJE NDIO NDANI •Katika maisha ya kawaida, tunaelewa ndani na nje kwa mfano wa boksi au chumba,ukiwa ndani ya nyumba kuna dari, ukuta, na mlango •ukiwa nje ya nyumba upo mahali tofauti kabisa,kuna ukuta wa kugawanya ndani na nje,kwahiyo,ndani...
  13. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa Siri wa P Didy umefichuliwa

    Souce : BBC Swahili Wild King Nights' Tumefahamishwa kwamba Combs iliwadhibiti sana wandani wake. "Sitakaribia kuwa muwazi kwenu nyote," mfanyakazi moja wa kampuni ya Combs aliweka ujumbe uliorekodiwa na tajiri yao kwenye kikundi cha WhatsApp cha wafanyakazi mnamo 2020." Kuna sehemu za...
  14. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Je Wajua: Unaishi katika hali ya upofu kwa takribani masaa mawili kila siku bila kujijua

    Na Mjumbe wa Nafsi za Watu Kuna jambo moja ambalo halijawahi kunishangaza kama binadamu alivyo na jeuri ya kuamini anajua kila kitu – huku akijua jambo moja tu: kuwa haelewi hata kile anachodhani anakielewa. Kwa miongo mingi tumefundishwa kuwa sisi ni viumbe vya kipekee, tunaoona, tunaoamua...
  15. BabaMorgan

    JamiiForums Tanzania Mtazamo wangu Heaven and hell zina exist katika ulimwengu

    Just mtazamo kwenye huu ulimwengu kuna sehemu ni nzuri zinavutia machoni kuzitazama zinakupa comfortability ni raha tupu kwa mfano wale wenzetu waliopewa ahadi ya mabikra ndio anapelekwa sehemu kama hii afu anapewa vitoto vya 2000 ambavyo matiti hayajalala alafu vina mizigo unafikiri kichwani...
  16. proton pump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wangekuwa na uwezo wa kuumba wanaume wao wangewaumba. Ulimwengu wa sasa kuna vita kali sana kati pesa na mwanamke

    Wasaalam wanajukwaa nina imani mna afya njema. Kadri miaka inavyoenda, karne, kizazi kubadilika ndivyo binadamu hubadilika. Nirudi kwenye mada..... Wanaume wanazidi kupungua sana duniani kutokana na sababu mbalimbali kv; magonjwa, kazi ngumu, mawazo, vita ajali, migogoro, malezi n.k. nimeandika...
  17. Buraq Mustapha

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa majini na mambo niliyoshuhudia na kujifunza kwao

    Simulizi ya kweli inayonihusu mimi mwenyewe moja kwa moja. Sehemu ya kwanza . 1. Namna majini walivyoshiriki katika makuaji yangu . Tangu nikiwa mdogo nilikuwa nikishuhudia vivuli vilivyokuwa vikinifata kila nilipokwenda, kiukweli nilikuwa nikiogopa sana ingawa nilikuwa simwambii mtu yeyote...
  18. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa Vyuo Vikuu: Fahamuni Umuhimu wa Psychographic Segmentation Katika Ulimwengu wa Kisasa wa Marketing

    Wanafunzi wa marketing na biashara kwa ujumla, ni muhimu sasa kuelewa kuwa soko la leo haligawanywi tu kwa kipato (income), jinsia (gender), au umri (age). Dunia ya kisasa imeingia kwenye hatua ya deep consumer understanding ambapo psychographic segmentation ndiyo silaha kuu ya makampuni...
  19. NALIA NGWENA

    JamiiForums Tanzania Pacoume Zouzou vs Mpanzu — Sasa basi, maana Pacoume ni bora kuliko Mpanzu

    Katika ulimwengu wa soka, mijadala ya nani ni bora kuliko mwenzake huwa haikwepeki. Kwa sasa, gumzo limekuwa kati ya wachezaji wawili mahiri: Pacoume Zouzou na Mpanzu. Wote ni wachezaji wenye vipaji, lakini katika makala hii tunachambua kwa undani sababu zinazomfanya Pacoume kuwa juu zaidi ya...
  20. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ulimwengu wa vichaa na wendawazimu Kile usichokiona wakionacho

    Mjadala kamili uko hapa (6,958) Vichaa huona nini? | JamiiForums Vichaa huona nini? Kwa ufupi ni kwamba kuna namna fulani macho yao hufunguliwa na kuona sisi tusivyoviona. Ama akili zao hugeuza uelekeo na kutengeneza maombi tofauti akilini mwao Hivyo ukimpa kichaa/ mwendawazimu vifaa vya...
Back
Top Bottom