Confucius alisema,vitu 3 huwezi vificha, JUA, MWEZI NA UKWELI.
Unaweza tembea na uwongo, kuupamba na kuuremba, lkn Ukweli utakuumbua.
Natamani wangejua Hekima za wazee,MFICHA UCHI HAZAI.
Chama chenu kina vijana wasio na uwezo wa kupambana na hoja matokeo yake ndio haya. Nakumbuka kipindi cha...