Leo nawapa ukweli wote

Leo nawapa ukweli wote

Samia atosha tukutane2030

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
17,332
Reaction score
48,941
Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?
 
Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?
Na wanaoconect nap pia Wana familia na Wana fani hizo hizo za mpira na biashara
 
tukifuata hivyo basi tunaenda kupoteza taifa lote nakutengeneza matabaka katika jamii, na haitaishia hapo lazima itazaa taharuki tu.. ni lazima tuwe na viwango vya uwajibikaji na kuadabishana hakuna kuachia mtu tu hovyo haswa katika ngazi ya serikali maana hii inaathiri namna zote za maisha, changamoto zipo ili zitatuliwe na sio kila mtu abaki na mambo yake tu, kufanya hivyo ni sawa na kukata tawi ulilokalia ama kucheza na moto huku ukijiona upo salama. hii ni nchi ya watu si ya mtu ama kikundi fulani basi hata wakienenda tofauti waachwe kisa wananguvu, no and never. heshima inapokanyagwa basi lazima itafutwe kwa lazima.
 
Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?
Unaposema huu ni ukweli, umethibitisha vipi huo ni ukweli na si fikra zako tu?
 
Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?
kwa akili hizi ndio maana nchi inazidi kuwa masikini kila siku
 
Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?
Umesoma ulichokiandika na ukakitafakari,
Lengo ni kupambani nchi kwa ajili ya Taifa la kesho.. huu ubinafsi wa kuipambania familia ndio unatengeneza matabaka ya juu na tabaka la chini, watu wanajilimbikizia mali, watu wanapeana nafasi za upendeleo zisizo stahili kuanzia nyanja zote mpaka za afya, je umelitafakari tabaka la chini? Umeshawahi kukosa katika maisha yako? Unaijuia njaa?
Afrika tunadharaulika sababu ya ubinafsi kama huu
 
Back
Top Bottom