Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,332
- 48,941
Hapa Tanzania.
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?
Narudia tena, hapa Tanzania kijana jitahidi kupambania familia yako (wewe mwenyewe, mke/mume na watoto) basi. Mengine achana nayo maana hutayaweza.
Kama unaingia kwenye siasa ingia kwa ajili ya familia yako tu, kama unaingia kwenye utumishi wa umma the same, kama unaingia kwenye soka the same, kama unaingia kwenye biashara the same.
Focus on your family only.
Nchi ambayo neno "CONNECTION" maana yake si Dili la pesa, scholarship, biashara wala ajira.
connection maana yake picha za ngono. Unadhani kuna jipya hapo?