uingereza

  1. Nyendo

    Raia wa Uingereza waanza zoezi la upigaji kura

    Uingereza yaanza kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa tatu chini ya miaka mitano. Uchaguzi huu, ambao ni wa kwanza kufanyika mwezi Disemba karibia miaka 100, unafuata ule uliotangulia ndani ya miaka ya 2015 na 2017. Vituo vya kupiga kura ndani ya maeneo 650 kutoka Uingereza, Wales, Uskochi na...
  2. Mwanamayu

    Je, nasi tutafika walipo Uingereza kwa sasa? Jengo la kanisa kuwa ukumbi wa kampeni za uchaguzi!

    Hakuna ubishi kuwa Mr Nigel Farage anafanya kampeni ya uchaguzi mkuu ambao utafanyika kesho - 12/12/2019 ndani ya jengo la kanisa. Architecture ya jengo hilo ni ya kanisa. Wamefikia hapo baada ya wengi kuelimika na tech kupanda na demokrasia kukuwa. Je, nasi tutafika huko na haya makanisa...
  3. Erythrocyte

    Uingereza yasikitishwa na yaliyotokea kwenye Uchaguzi wa Serikali za mitaa nchini Tanzania

    Kitendo cha Watendaji kuamriwa kujificha kwa gharama yoyote ile ili kuhakikisha Wagombea wa vyama vya upinzani hawachukui ama kurudisha fomu za uchaguzi wa serikali za mitaa kwa lengo la kuwabeba wagombea wa CCM kwa mbeleko ya chuma, kimeusikitisha mno ubalozi wa Uingereza. My take: Nchi...
  4. Suley2019

    Uingereza: Mchezaji Raheem Sterling aondolewa katika kikosi cha Uingereza kinachojiandaa dhidi ya Montenegro kwa kosa la ugomvi

    Mchezaji wa klabu ya Manchester City Raheem Sterling amelezimika kuondolewa katika kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza kinachojiandaa kucheza dhidi ya nchi ya Montenegro kuwania kufuzu michuano ya Mataifa ya Ulaya maarufu kama "Euro" kufuatia ugomvi aliyouanzisha dhidi ya mchezaji Joe Gomes wa...
  5. Suley2019

    Ligi Kuu ya Uingereza: Msimamo wa kumi bora na tano bora ya wafungaji baada ya Mechi za leo

    Timu kumi za juu kwa Jumamisi hii: Orodha ya tano bora ya wafungaji
  6. Suley2019

    Uingereza: Kijana aliyewavamia Ozil na Kolasinic ahukumiwa jela miaka kumi

    Mahakama ya Horrow Crown ya nchini Uingereza imemhukumu Bwana Ashley Smith, 30 kwa kosa la kuwavamia wachezaji wa timu ya Arsenal siku ya tarehe 25 Julai 2019 Maeneo ya Kaskazini Magharibi mwa Mji wa Londoni. Aidha, inaelezwa kuwa kijana huyo alialiwavamia wachezaji hao kwa lengo la kutaka...
  7. beth

    Vyama vitatu vya upinzani vyaungana Uingereza kupigania Uingereza ibakie katika Umoja wa Ulaya

    Vyama vitatu vya siasa nchini Uingereza vimetangaza makubaliano ya kushirikiana ili kupata wanachama zaidi katika bunge ambao wanaunga mkono Uingereza kubakia katika Umoja wa Ulaya. Vyama hivyo vitatu vya Liberal Democrats, Chama cha Walinzi wa Mazingira na chama cha Plaid Cymru cha jimbo la...
  8. Superbug

    Italia Ni nchi ya majitu uingereza ni vijitu

    Kama unawafahamu wazungu basi utaweza kuwatofautisha kwa muonekano waitalia Ni majitu makubwa yenye nywele nyeusi na Ni white redish waitalia wengi wana nywele nyeusi ila waingereza Ni vijitu vidogo ila vyenye akili wajerumani warefu wakubwa wasweden Ni weupe pyeeee na wanorwy pia wanafanana na...
  9. The Assassin

    Umoja wa Ulaya umekubali kuiongezea Uingereza muda wa kujiondoa katika umoja huo

    Mpango wa Uingereza kujiondoa umoja wa Ulaya tarehe 31.10.2019 kama alivyoapa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza, Borris Johnson umeshindikana hivyo wameomba muda zaidi kwa Umoja wa Ulaya ili waweze kujiandaa zaidi na kupata makubaliano mapya yatakayokubaliwa na Bunge la Uingereza. Borris aliapa...
  10. Ack

    Mambo yameiva: Jinsi Irani walivyoteka meli ya mafuta ya uingereza

    Jinsi Irani walivyoteka meli ya mafuta ya uingereza, mambo yameiva https://youtu.be/mbuRGf5cfNM
  11. Pdidy

    Video ya Ngono ya Walimu Uingereza Yawaletea Balaa

    Video ya Ngono ya Walimu Uingereza Yawaletea Balaa Walimu wawili nchini Uingereza wako kwenye hatari ya kupoteza kazi zao baada ya video yao waliyoitengeneza wakati wakiepeana uroda nyumbani kwao kuonekana kwenye mitandao ya ngono. Kasheshe iliwakumba walimu hao wakazi wa Bargoed kusini mwa...
Back
Top Bottom