The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Kampuni ya uchimbaji madini ya Indina Resources kutoka Uingereza imeitaarifu serikali ya Tanzania nia yake ya kuishitaki kwenye mabaraza ya usuluhishi kwa ukiukwaji wa mikataba ya uwekezaji kati ya Tanzania na Uingereza.
Kampuni inaituhumu Tanzania kwa kukiuka kitu kinaitwa protection and promotion of investments and international law on project hasa baada ya serikali kufanya marekebisho ya sheria ya madini ya mwaka 2010 na sheria yya haki za madini(mineral rights and regulations 2018) ambayo ilifuta na kuondoa haki za kimkataba zilizoingiwa huko nyuma bila kufuata utaratibu.
Indiana imemuandikia barua rasmi na kumkabidhi Mheshimiwa Rais, Msuluhishi mkuu wa serikali na wizara ya madini.
Kwenye hii notice yao wanasema kuna leseni zaidi ya 10 za makampuni ambayo serikali imevunja mikataba yao ya uwekezaji.
Mkurugenzi wao anaonya kua kuwekeza Tanzania ni hatari sana kwa sbaabu pesa yako inaweza kutaifishwa na serikali wakati wowote. Anaonya kua Tanzania sio salama kwa uwekezaji, haitaki wawekezaji.
Soma mwenyewe hapa.
Kampuni inaituhumu Tanzania kwa kukiuka kitu kinaitwa protection and promotion of investments and international law on project hasa baada ya serikali kufanya marekebisho ya sheria ya madini ya mwaka 2010 na sheria yya haki za madini(mineral rights and regulations 2018) ambayo ilifuta na kuondoa haki za kimkataba zilizoingiwa huko nyuma bila kufuata utaratibu.
Indiana imemuandikia barua rasmi na kumkabidhi Mheshimiwa Rais, Msuluhishi mkuu wa serikali na wizara ya madini.
Kwenye hii notice yao wanasema kuna leseni zaidi ya 10 za makampuni ambayo serikali imevunja mikataba yao ya uwekezaji.
Mkurugenzi wao anaonya kua kuwekeza Tanzania ni hatari sana kwa sbaabu pesa yako inaweza kutaifishwa na serikali wakati wowote. Anaonya kua Tanzania sio salama kwa uwekezaji, haitaki wawekezaji.
Soma mwenyewe hapa.