uhuru

  1. Aizi Azma

    Uhuru huu waliopewa bodaboda ni takrima?

    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amenukuliwa akisema; - "Hakuna Bodaboda wala Bajaji itakayokamatwa eti kisa ameingia katikati ya Jiji, mtafanya kazi zenu kwa uhuru mipaka yote ya Dar es Salaam ni halali yenu, hata mkisema tunafanya tamasha la Bajaji na Bodaboda hapa Mnazi Mmoja tutafanya, kikubwa...
  2. WilsonKaisary

    Nelson Mandela ni msaliti wa harakati za Uhuru wa Afrika Kusini na Afrika kiujumla?

    Kwa takribani miaka 27 Nelson Mandela (Tata/Madiba) amekuwa gerezani Hadi mwaka 1990 alipoachiwa. Hadi kufikia mwaka 1990 nchi zote za kiafrika zilikuwa zimepata Uhuru kutoka kwa wakoloni. Ikumbukwe Afrika Kusini ilipata Uhuru wake mnamo 1931, mwaka 1994 haukuwa mwaka wa kupata Uhuru kwa Afrika...
  3. B

    Suspects charged with posting CCTV footage of Uhuru, Raila freed on bail

    June 17, 2020 Nairobi, Kenya Ms Janet Magoma Ayonga, a CCTV controller contracted at the hotel and Mr Patrick Rading Ambogo, a security supervisor, who are suspected of leaking the video captured by the hotel’s CCTV cameras were Wednesday charged with unauthorised interception of computer data...
  4. N

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ashutumu kushambuliwa kwa Mbowe, ataka uhuru wa siasa

    Msiyemtaka kaja yule naibu waziri wa mambo ya nje wa USA anayeshughulika Africa bwana TiBOR ambaye profesa wa majalalani kipindi fulani alienda kubembeleza na kulilia msaada ka strike again, anataka uhuru wa kufanya kazi za kisiasa jambo amabalo ni gumu kwa CCM mpya maana uwanja ukiwekwa sawa...
  5. Roving Journalist

    Muswada wa Marekebisho Sheria-2020: Unajua watu hawataweza kudai haki kwa niaba ya Wanyonge? Viongozi wa juu Serikalini hawatashtakiwa moja kwa moja!

    Asasi za Kiraia 220 zimefanya uchambuzi wa muswada huo wa sheria na kuwasilisha mapendekezo ya mabadiliko ya muswada huo kwa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria. Taasisi hizo zimeeleza kuwa japo kuwa zinafahamu muswada huo una lengo wa kusasisha Sheria iliyopo sana huku ikibaki kuendana na...
  6. Zigi Rizla

    Ban on gatherings, bars extended for 30 days as Kenya’s COVID-19 cases hit 2,600

    President Uhuru Kenyatta on Saturday announced that the total number of COVID-19 cases in Kenya rose to 2,600 after 126 more patients tested positive. President Kenyatta, addressing the nation at State House in Nairobi, said the fatalities had also increased to 83 after 4 patients died from the...
  7. simplemind

    Uhuru na maamuzi magumu

    Ukiingia kwangu vua viatu mlangoni, ndio taratibu hapa nyumbani.
  8. T

    Mwanangu kanifundisha somo la Uraia kuhusu uhuru wa kisiasa

    Jana nilienda Shinyanga Mjini baada ya siku kama nane hivi tangu nitoke Dar kwenye msiba wa Ndugu yangu aliyefariki na corona - hata kama vipimo havikuonesha lakini dalili zote zilijitokeza. Jioni wakati naelekea stendi nipande gari za Maganzo nikaona ninunue magazeti. Magazeti yanayowahi...
  9. MK254

    Uhuru to Host World Presidents in Virtual Meeting on COVID-19

    State House on Wednesday, May 27 announced details of a virtual meeting of the Organization of African, Carribean and Pacific (ACP) States to be hosted by President Uhuru Kenyatta. Uhuru is slated to convene the summit on June 3, to discuss meaningful options for collaboration among countries...
  10. P

    Hizi ndizo saili zilizoongoza kuwa na waombaji kazi(wasailiwa) wengi kwa nafasi chache tangu nchi hii ipate uhuru

    Sio ubishi tena, Janga la ajira ni changamoto kubwa sana kwa kizazi Cha Sasa . Tujikumbushe kidogo Tarehe 12/12/2014 ilikuwa ni siku ya usaili ya nafasi za kazi 50 tu zilizotangazwa na TRA takribani mwezi kabla ya tarehe ya usaili., baada ya kufanya short listing wakapatikana watu zaidi ya...
  11. Mzukulu

    Huenda Tanzania ya sasa chini ya Rais Magufuli ikawa imepata Waziri bora wa Elimu Ndalichako tokea Uhuru wake

    Yaani Watoto wamekaa karibia Miezi Mitatu bila Masomo, huku wengi Wao wakiwa tayari wameshaathirika Kisaikolojia kulingana na Hofu iliyokuwepo na bila shaka wengine hata Topiki zao hawakumaliza anatokea Mtanzania Mmoja anasema watafanya Mtihani yao Wiki chache zijazo. Hivi hawa Watoto...
  12. mimitungi

    Rais Uhuru, Je huyaoni haya

    Wafikirie wananchi wako ndugu, hali ni mbaya sana.
  13. W

    Barua ya wazi kwa Uhuru Kenyatta: Ungetatua kwanza mgogoro na Wananchi wako si Tanzania

    Ndugu yangu Uhuru aka Kamwana, Kuna mambo umeyafanya ambayo yameleta ghadhabu wa wakenya sasa unataka kutupia lawama mataifa jirani kama ambavyo Trump anavyolaumu China kwa matatizo yake ya ndani. Ushauri wangu tulia jifunze kutatua matatizo wa wanakenya kwa kutumia mikakati ya kimagharibi...
  14. pingli-nywee

    Rais Uhuru Kenyatta atoa amri ya kufungwa kwa boda ya Kenya-Tanzania na Kenya-Somalia kwa siku thelathini

    Huu ndio muendelezo wa mapigo ya kuipuuza kuibeza na kuiita Corona kaugonjwa kadogo. Sasa hasara itatuandama sisi sote, wakenya kwa watanzania, baada ya rais Kenyatta kufunga boda kati ya Kenya na Tanzania na pia Kenya-Somalia. Amri ambayo itadumu kwa siku thelathini zijazo. Sio jambo njema...
  15. Jidu La Mabambasi

    Gazeti la chama UHURU, mnatufadhaisha uhariri wasomaji wenu!

    Gazeti la leo 06/05/2020, UHURU pg 4. **** picha ya Oscar Kambona akipata shave tarehe 24 June mwaka 1667 !!!!! Uhariri ndani ya gazeti letu pendwa uko mashakani. Mhariri umeshindwa ku capture makosa haya?
  16. Influenza

    Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari: Uandishi wa Habari bila Hofu au Upendeleo

    Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari maarufu kama Siku ya Waandishi wa Habari Duniani ni ni moja ya matukio yaliyopanga, kusimamiwa na kuhamasishwa na Umoja wa Maifa likiwa linaadhimishwa kila mwaka Mei 03 Siku hii inaadhimishwa kuongeza uhamasishaji kuhusu umuhimu wa uhuru wa waandishi wa...
  17. SueIsmael

    Kongole kwa Wanahabari wote tukiadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari

    Nawatakia wanahabari wote, ikiwemo timu nzima ya Jamii Forums, maadhimisho mema ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari. Hii ni tasnia ngumu sana na inahitaji ujasiri wa hali ya juu. Ukipewa jukumu la kutetea ukweli, ni rahisi kutengeneza maadui wengi, hata wale wanaokolewa na ukweli huo. Tuzidi...
  18. President of China

    Here are 9 most popular Tanzanian wines that Kenyan President Uhuru Kenyatta can't get enough of

    Here are 9 most popular Tanzanian wines that Kenyan President Uhuru Kenyatta can't get enough of 35-44 minutes Grapevines were first introduced to Tanzania’s central zone in 1938 by missionaries from the Hombolo Catholic Mission. In 1979, the government established the Dodoma Wine Company...
  19. Analogia Malenga

    Zimbabwe yaadhimisha miaka 40 ya uhuru

    Imetimia miaka 40 leo (18.04.2020) tangu bendera ya Uingereza iliposhushwa nchini Zimbabwe, na ya taifa jipya huru ikapandishwa kuashiria uhuru wa nchi hiyo, miongoni mwa chache zilizokuwa zikibakia chini ya ukoloni. Miongo minne tangu siku hiyo ya uhuru, Wazimbabwe wengi wanasema...
Back
Top Bottom