Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Mgombea Rais wa Chadema, Mhe. Tundu Lissu akizungumza na wananchi wa Iringa mjini, waliojitokeza kumdhamini kwa kuweka saini zao kwenye fomu zake, leo Jumanne, Agosti 18, 2020.
UPDATES!! Iringa muda huu kinawaka.
Iringa bado hatujamalizana, imeitwa na imeitika kweli kweli.
Lissu CHUMA Cha Mjerumani anaunguruma Iringa Nzima Imesimama.
#Eti Chadema imekufa Iringa?? We we ulisikia waaapi?
#AWOOOOTEEH!