Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Venus Star

JF-Expert Member
Dec 6, 2018
19,664
59,735
Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM.

Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa barani Afrika CCM.

IMG_20200815_140023_303.jpg
IMG_20200815_135544_489.jpg
IMG_20200815_135539_333.jpg
 
Bado sijamuona msanii anayeiimbia CCM kutoka moyoni kama alivyokuwa kapiteni John Komba.

Ngoja tuone labda atatokea.

Maendeleo hayana vyama!
Unajua maana ya 'Msanii' Mkuu? Kwa sasa Tanzania hakuna 'Wasanii' bali kuna Kundi Kubwa sana la 'Waburudishaji' wenye 'Ujuha' uliowatukuka!!!
Huu ni mradi wa chakubanga kupiga pesa za chama, huu ni wakati wa mavuno kwa wajanja chamani.
 
Back
Top Bottom