uhamiaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Escrowseal1

    Kongole nyingi sana Uhamiaji Tanzania. Mmetupa heshima Watanzania

    Huduma za uhamiaji Tanzania zimenikosha nikawiwa kuwapongeza. Sina uhakika kama Watanzania wenzangu wanawaona kama nilivyowaona. Nawapongeza kwa yafuatayo: 1. Mmejenga mifumo very smart hasa ya malipo ya pesa ya serikali. hai attempt watumishi na ni rahsi, online applications is just fantastic...
  2. R

    Commissioner General wa Uhamiaji Dr. Makakala hapigi salute vizuri

    Nimekuwa nikimfatilia commander huyo kuhusu upigaji wake wa salute si wa kiwango ukilinganisha na makamanda wakuu wengine. Nimeshindwa kuweka picha yake ya leo alivokuwa Ikulu wakati akishuhudia utiwaji sahihi kati ya serikali yetu na Brick company.
  3. britanicca

    Niliwalaumu Uhamiaji bila sababu kuhusu utoaji Pasi za Kusafiria kutotegemea taarifa za NIDA. Aliyevuruga mfumo yupo, 20% wenye ID si watanzania

    Leo nikiwa hapa Russia nimepata kuongea na Afisa uhamiaji ambaye amesema taarifa anazotoa ni nyeti na wala serikali isingependa zijulikane kwa raia wake maana zitaonesha Udhaifu wake. Tumejadili yafuatayo: 1. Kwanini ukienda Uhamiaji unaombwa Birth Certificate wakati umeshai submit kwenye...
  4. Syston

    Uhamiaji acheni siasa, mnafeli wapi?

    Wadau, nimelileta hili maana limenivuruga akili haswa. Ipo hivi: Niliingia tovuti ya Uhamiaji kwa ajili ya maombi ya passport ila mambo niliyokutana nayo huko yameniacha hoi na kunifanya niamini siasa siyo mchezo mzuri. Kero nilizoziona ni kama ifuatavyo: 1. Katika kujaza form kuna kipengele...
  5. BASIASI

    Yanayoendelea hapa Kawe Ofisi za NIDA, Mh. Rais tupe tu mpaka March tupambanie kitambulisho

    Nimewahi kulalamika kuna watu wanatakiwa wajiondoe wenyewe maofisini kama wameshindwakwenda na kasi ya Mh. Rais. Hapa Kawe ofisi za NIDA kumekuwa na udhalimu, rushwa kila aina; watu wanawahi, wengine wanakuja wanapelekwa mbele na walinzi wanaondoka munabaki. Hilo siyo shida; utaratibu wa...
  6. Mathayo Fungo

    Uhamiaji Iringa yakamata Kundi la Wahamiaji Haramu

    Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Iringa mapema wiki hii inawashikilia watuhumiwa wa makosa ya kiuhamiaji idadi 20 ambapo idadi 19 ni raia wa Kenya wenye asili ya Somalia na raia 01 wa Tanzania. Akizungumza na vyombo vya habari Afisa Uhamiaji Mkoa wa Iringa Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Uhamiaji...
  7. Kirchhoff

    Vyoo Uhamiaji Arusha

    Katika "Harakat National ID" nilipita Uhamiaji mapema saa tatu na hii ni Hali ya vyoo vyao. Bibi Afya na Bwana Afya wakija kukagua kampuni binafsi wanatoza mi faini mikubwa huku vyoo vya serikali Hali Ni mbaya zaidi! Bwana Adrian hapo Uhamiaji nakukubali Sana kiutendaji hasa namna...
Back
Top Bottom