GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,128
- 5,236
Habari wakuu,
Napenda kufahamu kutoka kwa wajuzi mbali mbali humu jf.
Je, mamlaka ya uhamiaji Tanzania inaweza kumchukulia hatua za kisheria mbongo yeyote aliyeamua kujiripua nje ya nchi,
kutafuta maisha,mfano alitoka hapa bongo akaenda Kenya akachukua passport ya Kenya akaenda DENMARK, alipofika kule akaomba hifadhi kama mkimbizi akakubaliwa akaendelea kuishi kule miaka zaidi ya nane.
Je, uhamiaji wanaweza kuwa na mamlaka ya sheria juu ya mtu huyu kuweza kumchukulia hatua zozote kama raia aliyetoka Tanzania?
Naomba kufahamu zaidi ikiwa mtu huyu aliondoka bongo kwa njia anazojua yeye na akaacha familia,ndugu na jamaa Tanzania.
ASANTE.
Napenda kufahamu kutoka kwa wajuzi mbali mbali humu jf.
Je, mamlaka ya uhamiaji Tanzania inaweza kumchukulia hatua za kisheria mbongo yeyote aliyeamua kujiripua nje ya nchi,
kutafuta maisha,mfano alitoka hapa bongo akaenda Kenya akachukua passport ya Kenya akaenda DENMARK, alipofika kule akaomba hifadhi kama mkimbizi akakubaliwa akaendelea kuishi kule miaka zaidi ya nane.
Je, uhamiaji wanaweza kuwa na mamlaka ya sheria juu ya mtu huyu kuweza kumchukulia hatua zozote kama raia aliyetoka Tanzania?
Naomba kufahamu zaidi ikiwa mtu huyu aliondoka bongo kwa njia anazojua yeye na akaacha familia,ndugu na jamaa Tanzania.
ASANTE.