Uchaguzi 2020 Uhamiaji: Wagombea kwenye uchaguzi mkuu ni lazima awe raia wa Tanzania vinginevyo atatenguliwa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,780
141,667
Idara ya Uhamiaji imeelezea mikakati yake kuelekea kipindi cha uchaguzi mkuu.

Akihojiwa na mtangazaji Albert Kilala wa Channel ten msemaji wa idara ya uhamiaji mratibu msaidizi Aziz Kilondomara amesema wanafuatilia kwa makini sifa za wagombea na wapiga kura ili kuhakikisha nchi inaendelea kuwa salama wakati wote.

Idara inawataka wananchi wenye taarifa za wagombea ambao uraia wao ni wa mashaka mashaka wawalipoti haraka watu hao kwenye mamlaka za dola.

Chanzo: Baragumu Channel ten
 
Ina maana kuna wagombea walioteuliwa na hawana sifa za uraia? Uhamiaji nao wanazingua.
 
Kuna mgombea mmoja kizazi chake cha pili bado wapo Burundi. Hapo anasemaje?
Sijui Uhamiaji wamelitafakali hili kwa kina?

Ndiyo huyu ni wa kwa Nkulunziza,
Huyo mgombea akiambiwa aonyeshe kabuli la baba yake ,halijui labda akupeleke Burundi
 
Back
Top Bottom