Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,423
- 4,197
Huduma za uhamiaji Tanzania zimenikosha nikawiwa kuwapongeza. Sina uhakika kama Watanzania wenzangu wanawaona kama nilivyowaona.
Nawapongeza kwa yafuatayo:
1. Mmejenga mifumo very smart hasa ya malipo ya pesa ya serikali. hai attempt watumishi na ni rahsi, online applications is just fantastic.
2..Operations hapo uhamiaji kuanzia getini ni first come first serve uwe mwekundu, mweusi, blue you have equal chance na mnasimamia utaratibu hadi nilisahau kama niko nchini kwangu.
3. Watumishi wa uhamiaji hapo makao makuu mna discipline ya hali ya juu all the time mnafanya kazi kama siyo Watanzania niliowazoea kuanzia hao vijana kwenye ukaguzi, customer service, mafisa wakaguzi hapo madirishani na finger prints just not immigration that I know. Mzigo mlokuwa nao ni mkubwa ila mnachapa kazi sana kama siyo Waafrika jamani.
4.Tofauti na tulivyojizoesha Watanzania kwa passport zinazohitaji fast track mnamaanisha kweli fast track never believed. Mifumo yenu ni veey smart nawatumishi smarter.
5.Mmedisplay namber kwa watukutu wa rushwa kurepotiwa na box la maoni. Muhimu sana.
Nawashauri kuboresha yafuatayo hapo headquarter .
1. Priority kwa wenye uhitaji maalum kama seat , lining up nk
2. Fungeni AC hasa eneo la wateja .wateja na watumishi wanapata shida.
3. Sometimes vyoo havina maji
4.Wekeni utaratibu wawatu wanaokuja na begi za mgongoni. Watu wanalazimika kulipia kwani hamruhusu kuingia nazo mngeweka hata tag mtu akaziacha kwa walinzi kama ni necessary.
5. Hakuna sign kabisa ya rushwa hapo ofisini ila kuna vishoka mtaani wanaosaidia hiyo huduma kwa kucharge pesa kubwa .sina uhakika kama ni Rushwa ila haileti picha nzuri kwa mapinduzi mliyofikia.
6. Fanyeni ubunifu sehemu ya kuchukulia passport kule polisi ni kero watu wanajaa mno na utaratibu uboreshwe.
7 Saidieni idara mnazofanya nazo kazi kama NIDA . Idara ya nida ni aibu kwa nchi bado inafanya kazi kama ujima imejaa rushwa kila kona nchi nzima .nahsi ni idara inayoongoza kwa rushwa ndogondogo Tanzania nzima. Hata mwendesha boda boda anakwambia we toa 20,000 upate kitambulisho faster .wasaidieni wanatuangusha.
Mwisho naomba mamlaka zione juhudi zenu mapato yenu yareflect uchapakazi wenu na uzalendo wenu. kweli wakinamama wanaweza.
Nawapongeza kwa yafuatayo:
1. Mmejenga mifumo very smart hasa ya malipo ya pesa ya serikali. hai attempt watumishi na ni rahsi, online applications is just fantastic.
2..Operations hapo uhamiaji kuanzia getini ni first come first serve uwe mwekundu, mweusi, blue you have equal chance na mnasimamia utaratibu hadi nilisahau kama niko nchini kwangu.
3. Watumishi wa uhamiaji hapo makao makuu mna discipline ya hali ya juu all the time mnafanya kazi kama siyo Watanzania niliowazoea kuanzia hao vijana kwenye ukaguzi, customer service, mafisa wakaguzi hapo madirishani na finger prints just not immigration that I know. Mzigo mlokuwa nao ni mkubwa ila mnachapa kazi sana kama siyo Waafrika jamani.
4.Tofauti na tulivyojizoesha Watanzania kwa passport zinazohitaji fast track mnamaanisha kweli fast track never believed. Mifumo yenu ni veey smart nawatumishi smarter.
5.Mmedisplay namber kwa watukutu wa rushwa kurepotiwa na box la maoni. Muhimu sana.
Nawashauri kuboresha yafuatayo hapo headquarter .
1. Priority kwa wenye uhitaji maalum kama seat , lining up nk
2. Fungeni AC hasa eneo la wateja .wateja na watumishi wanapata shida.
3. Sometimes vyoo havina maji
4.Wekeni utaratibu wawatu wanaokuja na begi za mgongoni. Watu wanalazimika kulipia kwani hamruhusu kuingia nazo mngeweka hata tag mtu akaziacha kwa walinzi kama ni necessary.
5. Hakuna sign kabisa ya rushwa hapo ofisini ila kuna vishoka mtaani wanaosaidia hiyo huduma kwa kucharge pesa kubwa .sina uhakika kama ni Rushwa ila haileti picha nzuri kwa mapinduzi mliyofikia.
6. Fanyeni ubunifu sehemu ya kuchukulia passport kule polisi ni kero watu wanajaa mno na utaratibu uboreshwe.
7 Saidieni idara mnazofanya nazo kazi kama NIDA . Idara ya nida ni aibu kwa nchi bado inafanya kazi kama ujima imejaa rushwa kila kona nchi nzima .nahsi ni idara inayoongoza kwa rushwa ndogondogo Tanzania nzima. Hata mwendesha boda boda anakwambia we toa 20,000 upate kitambulisho faster .wasaidieni wanatuangusha.
Mwisho naomba mamlaka zione juhudi zenu mapato yenu yareflect uchapakazi wenu na uzalendo wenu. kweli wakinamama wanaweza.