johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,559
Ninajua kabla ya Corona uchumi wetu ulikuwa unakua kwa asilimia 6.9 lakini kufuatia anguko la uchumi wa dunia uliosababishwa na covid 19 uchumi wetu nao umeanguka na sasa unakua kwa 4.7%
Ndio namuuliza Dr Mwigullu Nchemba, je bado tuko kwenye uchumi wa kati au anguko hili limepunguza per capita ya mtanzania?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kazi Iendelee!
Ndio namuuliza Dr Mwigullu Nchemba, je bado tuko kwenye uchumi wa kati au anguko hili limepunguza per capita ya mtanzania?
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Kazi Iendelee!