Wakati wa vita wakuu wa majeshi hufanya maamuzi magumu mojawapo likiwa ni kutoa kafara maeneo au kikosi fulani ili iwasaidie kushinda vita. Kwa kifupi wanaachia washindwe mapambano wakijua watashinda vita.
Mfano wa kihistoria:
Vita kuu ya pili ya dunia, Warusi waliwaruhusu wajerumani( Nazi)...