Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Sisi wengine tutasema ukweli hata kama ni mchungu. Tutasema tu. Hata kama nitabaki peke yangu kuusema ukweli nitasema tu
Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.
Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.
Tundu Antipas Lissu - hatokuwa Rais wa Tanzania hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Seif Shariff Hamad - hatokuwa Rais wa Zanzibar hata iweje. Hawezi apishwa kuwa Rais iwe jua iwe mvua.
Hao watabaki marais wa mioyo ya watu ila kimwili na kiuhalisia haitatokea. CCM bado ipo sana. Wenye faida ya CCM kuwa madarakani ni wengi na wana nguvu kuliko wachache wasio na faida nayo.
Bernard Membe - huyu hata kumwongelea najisikia uvivu. Hamna kitu kwa huyu huko mbeleni ataomba msamaha atarudi CCM. Kwa sasa mwacheni tu aume ume maneno hata kuongea hajui.Havutii.