Historia ya ndani ya nchi ya Tanzania katika kipindi cha uchaguzi wa kisiasa, tasnia ya Habari pamoja na waandishi wa habari mara zote nao wanajumuhishwa kama vyama vya upinzani hususani vyombo binafsi vya habari, waaandishi wanaojitegemea pia huwa katika wakati mgumu katika kutekeleza majukumu yao.
Mikasa ya kupigwa na polisi, vyombo kufungiwa, vitisho kwa vyombo hivyo kutoka mamlaka za kiserikali kuanzia ngazi ya wilaya, mkoa, mpaka kitaifa.
Na ndio kipindi hiki ambapo sheria, kanuni, na taratibu za kuwabana waandishi na kuibana sekta ya habari zinaibuliwa sana, niseme tu Tanzania hakuna Uhuru wa Habari ila kuna waandishi na vyombo vya habari ambavyo vinafanya kazi bora siku iende lakini sio makosa yao.
Mikasa ya kupigwa na polisi, vyombo kufungiwa, vitisho kwa vyombo hivyo kutoka mamlaka za kiserikali kuanzia ngazi ya wilaya, mkoa, mpaka kitaifa.
Na ndio kipindi hiki ambapo sheria, kanuni, na taratibu za kuwabana waandishi na kuibana sekta ya habari zinaibuliwa sana, niseme tu Tanzania hakuna Uhuru wa Habari ila kuna waandishi na vyombo vya habari ambavyo vinafanya kazi bora siku iende lakini sio makosa yao.