Fantastic Beast
Member
- Feb 18, 2019
- 50
- 532
Tunawaambia ukweli kabisa, ili mnapofanya maamuzi yenu mkae mkijua raia wamechoka na hizo ndizo options walizonazo.
Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.
Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.
Kimbilio la wengi kwa sasa ni Lissu. Ila kwa sababu kuna kila dalili ya kukatwa, basi option ya pili waliyonayo raia ni Membe. Mkimkata na yeye raia wanaona ni bora hata wampe Hashim Rungwe sababu angalau kwa mbaali ana uchungu na hali zao.
Mkiwakata hao watatu basi mjue uchaguzi utakuwa ni wenu peke yenu na watu watakuwa washafunga mahesabu hawana hata haja ya kusubiri hata hiyo Oktoba.