ubunifu

  1. The redemeer

    JamiiForums Tanzania Kama una chumba kimoja tumia ubunifu huu

    Kwa hisani ya wabunifu wa kichina hawashindwi kitu. Unaweza ukatengeneza kitanda cha juu cha chuma au kama ni yako unafunga juu ya zege kitanda then chini ya kitanda unaweka dining table, au masofa au studying place kwa watoto wako. Unakuwa umesave space ya room yako namna gani,hii imeenda...
  2. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kazi za ubunifu za Claudi Cassanovas

    JF inaenda viwango vingine vya kimataifa zaidi.. Tunajiribu kupanua wigo wa mijadala na kazi za ubunifu za maonesho mbali mbali za wabunifu kwenye nyanja zote ambao ni maarufu duniani Kwa kushirikisha kazi zao kwenye mitandao yetu kunatupa nasi nafasi ya kuzitambua na kuzienzi kazi zao adhimu...
  3. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu mwingine wa kushangaza

  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kazi za ubunifu za Ibrahim Said wa Misri kwa kutumia tope la mfinyanzi

    Kutoka kwenye barabara nyembamba, tanuri za kufinyanga udongo, na karakana zenye kelele za Fustat, Ibrahim Said alizaliwa mwaka wa 1976. Fustat ni eneo la Cairo, Misri ambalo limejikita katika historia ya tasnia ya ufinyanzi tangu ushindi wa Kiislamu. Ibrahim anatoka katika familia ya...
  5. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Mshana Jr badilika, rudi kwenye asili Yako

    Huyu mwamba ni legend kabisa wa masuala ya ushauri, biashara fedha na uchawi. Kwa upande wangu ndio role model wangu hapa JF Ila kwasasa ndugu yetu amebadilika sana. Haanzishi tena nyuzi za ukombozi wa vijana, uchawi na mambo ya nyota sikuhizi anahangaika na na nyuzi za ubunifu wa vifuu vya...
  6. Fufua Tumaini Jipya

    JamiiForums Tanzania Karibu kwa mahitaji ya LOGO kali na zenye ubunifu ndani yake na mwonekano mzuri kwa ajili ya biashara yako

    Unahitaji Logo ya Kipekee kwa Biashara Yako? Karibu kwenye [MAC LOGO DESIGNING ] - Mahali ambapo ubunifu unakutana na mtindo! Tunatoa huduma za kubuni logo ambazo zitafanya biashara yako ionekane kitaalamu na kuvutia. Kwa Nini Utuchague? Ubunifu wa Kipekee: Tunaunda logo zinazoshawishi na...
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: Kilimo cha nyumbani ukiwa na eneo dogo

    Hapa no kilimo cha matunda, mbogamboga na baadhi ya mazao ya chakula Huhitaji tena kwenda kununua mboga zisizo salama.. Na wala huhitaji kulalamika kuwa huna eneo la bustani
  8. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: urembo kwa kutumia vipande vya miti

  9. baggio23

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ubunifu Bora ni Muhimu kwa Biashara Yako ! Wasiliana nasi leo GraphixPro Wakali wa Graphic designing Tanzania

    📢 Kwa Nini Ubunifu Bora Ni Muhimu kwa Biashara Yako? Ubunifu mzuri si anasa—ni silaha ya mafanikio kwa biashara yako! 🎯 ✅ Unakutofautisha na washindani ✅ Inavutia wateja zaidi ✅ Inajenga uaminifu ✅ Inasaidia kuuza zaidi 🚀 GraphixPro tunakusaidia kuboresha chapa yako kwa ubunifu wa hali ya juu...
  10. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Fursa ya Kusoma: Master ya Uongozi wa Ubunifu Afrika

    Fursa ya Kusoma: Master ya Uongozi wa Ubunifu Afrika!
  11. Fbn

    JamiiForums Tanzania “The Year 2000” .Kitabu kilichotoka mwaka 1967.

    Kitabu “The Year 2000” (1967) cha Herman Kahn na Anthony J. Wiener ni jaribio la kutabiri hali ya dunia ifikapo mwaka 2000 kwa kutumia mbinu za kisayansi na mifano ya uchambuzi wa siku za usoni. Katika kitabu hiki, waandishi walitoa makadirio kuhusu maendeleo ya teknolojia, uchumi, na...
  12. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu kwa wenzetu umeenda viwango vya juu zaidi

    Kwa wenzetu ubunifu ni kitu kinachopewa umuhimu mkubwa na wa kipeKee na ndio maana wameweza kufanya mengi na kufika mbali Kwa picha hizi hapa tunaweza kujifunza kitu kwenye sanaa na dhana nzima ya ubunifu
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: spika za mbao halisi

  14. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Mrejesho utakanao na mada za ubunifu

    Baada ya miezi miwili na ushee ya kupost mada za ubunifu kwenye majukwaa mbalimbali hasa jukwaa la makazi na ujenzi na kidogo ujasiriamali.. Hatimaye picha zimeanza kupungua sasa Dhima ya hizi mada ilikuwa kuamshq udadisi, kuchagiza ubunifu na kusherehesha sanaa ya ubunifu kwenye majukwaa...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: urembo wa sebuleni.. Tv show case za mbao

  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: my tool box

    Fundi bila kasha la spana hana kazi.. Huu ni ubunifu wa uhifadhi wa spana zako karakana
  17. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Kwa wafugaji: ubunifu wa tray na vibebeo vya mayai

  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Part 2: Ubunifu kwa kutumia mianzi na mazao yake

  19. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Ubunifu: sanaa ya uchongaji

    Venice: Jiji Linaloelea kwenye Msitu Uliozama 🌊🌳 Tangu 421 BK, Venice imesimama juu ya mamilioni ya vigogo vya miti vilivyokwama kwenye sehemu ya chini ya udongo wa rasi. Sio chuma au saruji, lakini hasa alder, na mialoni michache, inasaidia jiji zima. Katika maji ya chumvi, nguzo hizi za mbao...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Kila nkifanya ubunifu mshindani wangu anaiga ,wote tuko na aina moja ya biashara vinywaji na vyakula

    Habar wakuu leteni uzoefu wenu,Niko katika biashara ya vinywaji na chakula kwamiaka Sasa ,mshidani wangu yuko mita50 tuko ofisi yangu, Sasa Kila nkifanya ubunifu wakibiashara basi ataiga,nkiigiza product mpya sokoni basi nae ataiga na ataipunguza Bei Nini chakufanya biashara imekua pasua kichwa...
Back
Top Bottom