1. MAGUFULI anayeng'ata na kupuliza. Anakwambia maendeleo Hayana chama huku anakashifu wananchi wa majimbo ya Upinzani wakimhoji.
2. Lissu ni mpambania ukweli na haki za watu hata kwa kuweka rehani Maisha yake.
3. Magufuli anasiasa za kuwafanya watu wote Kama wajinga, watoto. Ahadi hewa za...