Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
1. MAGUFULI anayeng'ata na kupuliza. Anakwambia maendeleo Hayana chama huku anakashifu wananchi wa majimbo ya Upinzani wakimhoji.
2. Lissu ni mpambania ukweli na haki za watu hata kwa kuweka rehani Maisha yake.
3. Magufuli anasiasa za kuwafanya watu wote Kama wajinga, watoto. Ahadi hewa za mil.50 Kila Kijiji, laptop kwa walimu, nitaheshim katiba halafu yote hayatimizi.
4. Lissu akiahidi anatenda, wanasingida, Iramba pale wanajua alivyokuwa akiwapambania.
5. CCM imejaa kiburi, Kila mwanaCCM Sasa anajiona Ni Askari usalama wa taifa na kuoneaonea watu ovyo. Hawatufai.
6. CHADEMA wamewekeza katika nguvu ya umma, wao Ni watu wawatu na wataongoza kwa mamlaka ya watu. Hawa ndio wakwetu.
7. Miaka 5 ya Magufuli tumepigwa, tumetekwa, tumefungwa, tumebambikwa kesi, tumefirisiwa na uhuni mwingi tumefanyiwa. Sasa Basi hatumhitaji Tena, inatosha.
8. Lissu ni mhanga mwenzetu pia katika madhila hayo yote. Huyu ndiye atakayerejesha furaha na amanai ya mioyo tuliyoipoteza miaka 5 Sasa.
9. Magufuli anajiita injinia, yeye Ni mzee wa kupambana na vitu tu. Barabara na reli, ndege hata Kama watu wanakufa na njaa, matetemeko na majanga Hana time na wakihoji majibu yake kulia watatamani. Huyu jamaa hatufai kwakweli.
10. Lissu ni mwanasheria anayeshughulika na watu na amekuwa mtetezi wa wanyonge hata mahakamani huko wanaobambikwa kesi Lisu akiingia wanapata furaha. Sasa tumpe Ikulu Maisha yawe matamu Tena.
Ewe Mtanzania, ishinde njaa, ushinde uoga, pambania mgombea wako wa udiwani na Ubunge aliyeenguliwa kihuni arudishwe Mara moja. Mpigie kura Lissu na Linda kura yako isichakachuliwe.
Mwanahabari Huru
2. Lissu ni mpambania ukweli na haki za watu hata kwa kuweka rehani Maisha yake.
3. Magufuli anasiasa za kuwafanya watu wote Kama wajinga, watoto. Ahadi hewa za mil.50 Kila Kijiji, laptop kwa walimu, nitaheshim katiba halafu yote hayatimizi.
4. Lissu akiahidi anatenda, wanasingida, Iramba pale wanajua alivyokuwa akiwapambania.
5. CCM imejaa kiburi, Kila mwanaCCM Sasa anajiona Ni Askari usalama wa taifa na kuoneaonea watu ovyo. Hawatufai.
6. CHADEMA wamewekeza katika nguvu ya umma, wao Ni watu wawatu na wataongoza kwa mamlaka ya watu. Hawa ndio wakwetu.
7. Miaka 5 ya Magufuli tumepigwa, tumetekwa, tumefungwa, tumebambikwa kesi, tumefirisiwa na uhuni mwingi tumefanyiwa. Sasa Basi hatumhitaji Tena, inatosha.
8. Lissu ni mhanga mwenzetu pia katika madhila hayo yote. Huyu ndiye atakayerejesha furaha na amanai ya mioyo tuliyoipoteza miaka 5 Sasa.
9. Magufuli anajiita injinia, yeye Ni mzee wa kupambana na vitu tu. Barabara na reli, ndege hata Kama watu wanakufa na njaa, matetemeko na majanga Hana time na wakihoji majibu yake kulia watatamani. Huyu jamaa hatufai kwakweli.
10. Lissu ni mwanasheria anayeshughulika na watu na amekuwa mtetezi wa wanyonge hata mahakamani huko wanaobambikwa kesi Lisu akiingia wanapata furaha. Sasa tumpe Ikulu Maisha yawe matamu Tena.
Ewe Mtanzania, ishinde njaa, ushinde uoga, pambania mgombea wako wa udiwani na Ubunge aliyeenguliwa kihuni arudishwe Mara moja. Mpigie kura Lissu na Linda kura yako isichakachuliwe.
Mwanahabari Huru