LevelsUnajifariji na namba za watu mashuhuri alafu hujawahi kuwasiliana nao mambo ya msingi
Kwahio namba yoyote kwenye simu llazima iwe na connection? Acha utegemezi.Leo tuanze kuangalia contact zilizomo kwenye simu zetu au tulipo weka kwa njia tujuazo.
Kuna watu wanajisifu kuwa na namba za watu mfano kiongozi ,matajiri,wenye vyeo na n.k
Lakini hizo namba zijawahi kuwa connection yoyote.
Kwa nini msifute