A title is one or more words used before or after a person's name, in certain contexts. It may signify either generation, an official position, or a professional or academic qualification. In some languages, titles may be inserted between the first and last name (for example, Graf in German, Cardinal in Catholic usage (Richard Cardinal Cushing) or clerical titles such as Archbishop). Some titles are hereditary.
Guinea has formally called for Morocco to be stripped of their 1976 AFCON title, reigniting debate over one of African football’s most controversial moments.
The West African nation argues that Morocco national football team should forfeit the trophy after allegedly walking off the pitch for 15...
Patrice Motsepe, President of the Confederation of African Football, has defended the decision to strip Senegal of the AFCON title following their walkout during the final.
The incident has sparked debate across the football community about discipline, sportsmanship, and the enforcement of...
Mwaka 1961, mwanasaikolojia wa Chuo Kikuu cha Yale, Stanley Milgram, alifanya jaribio ambalo lilionyesha jinsi ubongo wa binadamu unavyofanya maamuzi unapokua chini ya mamlaka fulani na kuibua swali zito kuhusu utii wa binadamu kwa mamlaka.
Katika jaribio hilo linalojulikana kama Milgram...
Wakuu samahani Sana nimekosa Title sahihi ya hili tukio,
Dogo baada ya kumaliza form four mwaka huu, ametoka mkoani na kuja Dar es salaam kwa mara ya kwanza siku ya Jumatano tarehe 28 January 2026.
Amepata ajali na kupoteza uhai, amerudisha kuzikwa mkoani Jumatano ya Tarehe 04 February 2026...
Ni matumaini yangu mko salamaa!
Mimi niko salamaa sijui ninyi huko,
Mnaoumwa poleni, na wenye changamoto za hapa na pale poleni pia.
Niende kwenye lengo, nataka niandae research proposal kwa kutumia hii title “A Critical Analysis of Abortion Laws in Tanzania and Their Impact on Women’s...
Ni matumaini yangu mko salamaa!
Mimi niko salamaa sijui ninyi huko,
Mnaoumwa poleni, na wenye changamoto za hapa na pale poleni pia.
Niende kwenye lengo, nataka niandae research proposal kwa kutumia hii title “A Critical Analysis of Abortion Laws in Tanzania and Their Impact on Women’s...
Title: The TIS Act of 2024: Legalizing Abductions and Dismantling Accountability in Tanzania
By Dr. Wilbrod Slaa
In recent years, Tanzania has witnessed an alarming increase in cases of abductions, disappearances, and arbitrary detentions. At the heart of this troubling trend lies the Tanzania...
Title ya Uzi (Mada):
Hatua na Taratibu za Kupata Leseni ya Udereva Tanzania
Napenda kujua kwa undani juu ya jinsi ya kupata leseni ya udereva hapa Tanzania.
Maswali yangu makuu ni:
Ni vigezo gani muhimu vinavyohitajika kabla ya kuanza mchakato?
Ada ya malipo TRA ni kiasi gani kiasi gani kwa...
ALIYEKUWA Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini katika serikali ya Rais Jakaya Kikwete, David Jairo anadaiwa kupora na kujimilikisha ardhi kinyemela.
Jairo ambaye pia amewahi kuwa Katibu wa rais Kikwete anadaiwa kujimilikisha ardhi kiwanja Namba 1 mpaka 30 kitalu R, ndani ya shamba No.3650...
Wakuu napenda sana simulizi.
Hii simulizi mhusika alienda kijijini kwa babu yake. Akaenda kuishi pangolin siku tatu.
Alipewa ufunua na kuona ambavyo wengine hatuvioni. Kwa kifupi ni simulizi ya kweli kwa.mujibu wa mtunzi.
Naomba ambaye anaifamu anitag nayo.
Wasalaam
Mara ya pili sasa nashauri tena hili jukwaa la mapishi libadilishwe title liitwe jukwaa la chakula na vinywaji!, Wahariri wa humu sijui hamulioni hili!, maana hapo linaitwa jukwaa la mapishi tu so vinywaji tunaviweka wapi ama mnataka kuwe na jukwaa la vinywaji pekee!..
Maxence Melo hebu...
Hivi huu mtindo wa kuita watu kwa kutanguliza neno "mzee" ni umetokana na nini?
Halafu kwa nini ni wanasiasa tu wanaitwa wazee? Utasikia mzee Kikwete, mzee Mbowe, mzee Kinana, mzee Warioba, Mzee Slaa, Mzee Wasira n.k ila huwezi kusikia mzee Bakheresa, Mzee Janabi, Mzee Rostam!
Kwa nini mzee...
Nina swali dogo wataalamu! Kuna plot moja nilinunua miaka kadhaa iliyopita na nikabadilisha title. Ila kila mwaka nikilipia land rent jina bado linaonekana na mmiliki wa zamani, mara nyingi huwa nalipia kwenye website hii ya ardhi "land rent". Nimepigwa nini? Mmiliki wa zamani kaka yangu 🤣
Scene 1: Mji wa Dar es Salaam, Usiku
Maelezo ya eneo: Usiku wa Dar es Salaam, mitaa yenye mwangaza mkali kutoka kwa biashara za usiku na vilabu vya michezo ya kamari.
Sativa ni kijana maarufu anayejulikana kwa kupenda michezo ya kamari. Usiku mmoja, huku akicheka na marafiki zake na akifurahia...
Executive Summary
Corruption and fraudulent activities continue to plague societies and economies around the world, leading to significant economic losses, erosion of trust in institutions, and hindered development progress. This proposal outlines a comprehensive strategy to combat corruption...
Kumradhi waungwana naona kuna mkanganiko mwingi hapa Nchini Mtu kuitwa Dr. inaonekana ni deal sana hata kufikia watu kuzitafuta kwa nguvu na pesa.
Napendekeza ziwekewe tofauti, Medical doctor iwe na abbreviation yake, maana hata watu wa assistant medical officer nao wanajiita ma doctor...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.