Hapa nchini kama kila wanandoa wakifanya Dna test 70% ya wanaume wanalea watoto ambao sio wa kwao.

Hapa nchini kama kila wanandoa wakifanya Dna test 70% ya wanaume wanalea watoto ambao sio wa kwao.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
2,057
Reaction score
6,561
Nimeona Dw wanasema Zambia karibu 50% ya Dna test zinazofanyika wanakuta akina baba sio waliozalisha.

Hapa Tanzania ni zaidi ya 70% kaa na akina mama au akina dada watakupa ukweli wa mambo.

Hapa Bongoland hali ni mbaya zaidi kwa akina mama kupigwa nje kwa sababu mbalimbali.
 
Nasubiri mwanangu afike Chuo, next ni DNA, Hakuna shankaloka lugongo, kitanga hakizai haramu, nangoja tu nimsomeshe mpaka mwisho then DNA, Mama yake amwonyeshe Baba yake na wakajieleze Kwa mtoto wao vizuri!
 
Nasubiri mwanangu afike Chuo, next ni DNA, Hakuna shankaloka lugongo, kitanga hakizai haramu, nangoja tu nimsomeshe mpaka mwisho then DNA, Mama yake amwonyeshe Baba yake na wakajieleze Kwa mtoto wao vizuri!
Bongo DNA zinachakachuliwa. Wanasema wanalinda masilahi ya mtoto. Kwaiyo kama uwezo unaruhusu nenda kapime Nairobi.
 
% Zimekua kubwa kwasababu, mpaka mwafrica anafanya DNA test basi ujue tayari kuna mapicha picha, na test inatumika ku confirm tu.

Ila ukifanya Randomly, mtaani sina hakika kama hata 40% utapata.
Mleta mada kapotosha kidogo, hawajakuta 50% ni 39%.

Na hata kama hii selection bias isingekuwepo, hili jambo bado lisingeshangaza kwasababu wanaume nao wanazaa sana nje ya ndoa.
 
Back
Top Bottom