Habari za weekend ndugu zangu natumai mko salama, ehee ni weekend tayari.
Twende kwenye mjadala
Tanzania iko katika biashara ya vingamuzi kwasababu tulitoka uko kwenye analog na sasa tuko digital lakini ni kama atutumii fursa hii vizuri.
Nafikiri mna weza kukubaliana na mimi kama umewahi...