Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 396
- 639
Mimi naanza na kipindi Cha Dadaz. Hiki kipindi sijawahi kukielewa kabisa lengo lake ni nini. Kwanza mda wote watangazaji wanaongea bila kupeana zamu ya kuzungumza.
Na zaidi nachoona kinalenga kuwafanya mabinti wengi wasiolewe kwa jinsi kinavyopandikiza mbegu ya jeuri, ujuaji, ubabe na ukorofi kwa wanawake dhidi ya wanaume, tofauti kabisa na Mila na tamaduni za Kiafrika.
Na zaidi nachoona kinalenga kuwafanya mabinti wengi wasiolewe kwa jinsi kinavyopandikiza mbegu ya jeuri, ujuaji, ubabe na ukorofi kwa wanawake dhidi ya wanaume, tofauti kabisa na Mila na tamaduni za Kiafrika.