Idara ya matangazo ya ITV hawana budi kufuwatilia kwa umakini kwanini wakati wa taarifa ya Habari au matangazo muhimu channel yao inakuwa inakatika katika tunakuwa hatuwapati live je ni hujuma ndani kwa ndani au tatizo la mitambo yao. Nawasilisha
We endelea kuangalia akina Chino Wana man huko wasafini tvHivi bado mnaangalia ITV nyie itakuwa na wahenga