MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Nina uhakika Kitendo chenu cha Kuachana nae (Retrenching Him) pamoja na Watangazaji wenu Wengi wakiwemo Watangazaji Maarufu (Ninaowahifadhi) ambao wanafikia 27 mlitupoteza Wasikilizaji wenu.
Ni Wiki ya Tatu sasa namsikiliza Mtangazaji Mburudishaji na Mchangamshaji Mbwiga Mbwiguke akiwa Clouds FM hasa katika Vipindi vyao vya Michezo hali ambayo imeirejesha juu (Kiusikilizaji) kutokana na Vituko vyake vya Maneno yake Kiutani kiasi cha Kukufanya muda Wote wa Kipindi uwe glued katika Redio na Runinga.
Karibu tena Redioni Mbwiga Mbwiguke na Asanteni Clouds Media Group (CMG) hasa Boss wake aliyemuibua awali Shaffih Dauda kwa kuamua kupambana ili arejee tena (japo Umri wake umeshaenda), ila kilichoangaliwa Kwake ni Kipaji chake na Mvuto kwa Wasikilizaji pamoja na kwamba hajasoma kama wengineo.
Ni Wiki ya Tatu sasa namsikiliza Mtangazaji Mburudishaji na Mchangamshaji Mbwiga Mbwiguke akiwa Clouds FM hasa katika Vipindi vyao vya Michezo hali ambayo imeirejesha juu (Kiusikilizaji) kutokana na Vituko vyake vya Maneno yake Kiutani kiasi cha Kukufanya muda Wote wa Kipindi uwe glued katika Redio na Runinga.
Karibu tena Redioni Mbwiga Mbwiguke na Asanteni Clouds Media Group (CMG) hasa Boss wake aliyemuibua awali Shaffih Dauda kwa kuamua kupambana ili arejee tena (japo Umri wake umeshaenda), ila kilichoangaliwa Kwake ni Kipaji chake na Mvuto kwa Wasikilizaji pamoja na kwamba hajasoma kama wengineo.