Natazama Olympic
Basketball
USA Vs France.
Naona hii USA the dream team hamna kitu kabisa..
Niliona walifungwa hadi na Nigeria kwenye maandalizi ..naona mwaka huu hata medali ya Shaba hawapati
Huyu ni Clatous Chotas Chama. Huwa hana mbio sana. Ni mtembeaji tu Uwanjani. Ana assist 15. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 15 na magoli mangapi? 7 kama sikosei
Huyu ni Tuisila Tununu Tusinda. Huwa ana mbio sana. Ni mkimbiaji uwanjani. Ana assist 5. Angalia mwenyewe ASSIST ngapi? 5 na magoli...
Job Description
All NRC employees are expected to work in accordance with the organisation’s core values: dedication, innovation, inclusivity and accountability. These attitudes and believes shall guide our actions and relationships.
JOB DESCRIPTION
ROLE AND RESPONSIBILITIES
Ensure adherence...
Inasikitisha sana kwa kweli hawa jamaa nilkuwa najua ni manguli wa habari za michezo wako sasa hivi saa 19.50 wanadanganya kuhusu habari ya florente ibenge wakidai ni kocha wa team y a taifa ya Dr Congo
ibenge kaacha kazi as vita anaelekea Orlando pirates ila hawa jamaa wako hapo studio wanadai...
Wadau wote, wanahitajika wasomi wenye degree walau za masoko au za afya aina yoyote au ofisa mauzo wenye weledi kwa ajili ya masoko ya huduma za afya, lengo ni kuuza system za IT kwenye hospitals za private na za serikali na kwamba maofisa hawa watafanya kwa mikataba ya muda mfupi mfupi wenye...
Wazee wa klabu namba 74 kwa ubora barani africa yanga sc wamekataa kuingiza team tarehe 3 july.Team hiyo ya mitaa ya twiga na jangwani ambayo kwa mujibu wa shirikisho la soka afrika ni ya tatu kwa ubora nchini nyuma ya simba na namungo kikawaida huwa ina utaratibu wa jadi na wa kihistoria wa...
Na. CM 1774858.
1. Jana trh 28|05|2021|1:26Pm nikiwa Ofisi za CCM Lumumba nikimsubiri Katibu wa Itikadi na Uenezi Comred Shaka Hamdu Shaka walifika Wasanii kadhaa akiwemo Diamond Plt, wote kwa pamoja wakiwa na shida ya kuonana na Ndg Shaka Hamdu Shaka,Muhudumu akawaomba wamsubiri kama...
Kimzaha mzaha wakati inaonekana anahangaika kuipandisha brand ya Simba ukweli ni kwamba kwenye issue ngumu ni muoga sana, Simba ilipofikia kuna siku itechaza hata na Manzese united wakasema simba imepuliizia sumu na habari ikasambaa Afrika nzima ikaamini.
CEO hizi habari anakausha kimya hadi...
Reference Number CCB210511-1
Job Title TEAM LEADER PACKAGING
Function Manufacturing
Company Coca-Cola Kwanza (Tanzania)
Job Type Permanent
Location – Country Tanzania
Location – Province Not Applicable
Location – Town / City Dar es Salaam
Job Description: Coca-Cola Kwanza Ltd has an exciting...
Wadau wenzangu
PNC
The Icebreaker
Joseverest
King_Ngwaba
makaveli10
kilambimkwidu
Chukwu emeka
BAK
Anigrain
The Boss
Saint Ivuga
dingimtoto
Kanungila Karim
Van De Beek
FORTALEZA
tony92
Chaliifrancisco
adriz
Prince Kunta
OKW BOBAN SUNZU
DENLSON
Waterloo
Isanga family n.k...
Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa makatibu wakuu, naibu makatibu wakuu na wakuu wa taasisi mbalimbali za serikali.
=======
Baadhi ya mabadiliko
- Alphayo Kidata ameteuliwa kuwa kamishna wa mamlaka ya mapato Tanzania, nafasi aliyowahi kuitumikia kabla na uteuzi wake kutenguliwa na...
Habari mbaya sana kwa deportivo la utopolo ambao kwa sasa wanalalamika kwa nini team ya 13 kwa ubora Africa ambayo very soon itaingia top 10 imeamua kuachana na yutong la sportspesa la 2010 (linalofanana na team ya 74 kwa ubora afrika mbaya zaidi bila aibu sportspesa wanatoa pesa sawa kwa...
Mechi kati ya Morocco na Mauritania, kwa wale waliobahatika kuitazama mechi leo...Kuangaza kwangu macho nikamuona fundi wa Sevilla Munir El hadad akichezea timu ya taifa ya Morocco, nikabaki na mshangao...Je, ni mchezaji wa mataifa yote mawili Morroco na Spain kwa pamoja???
God bless you guy's
Kwa Tanzania imekuwa kama utamaduni. Ushirikina umeshika chat sana katika mpira wetu. Mbaya zaidi ni wachezaji wa Team mmoja kufikia hatua nao wanarogana wakigombea namba.
Team moja kubwa hapa Dar ina mchezaji huyo nasikia ukiletwa namba yake hutodumu. Anakupiga misumali. Unapata jeraha hata...
Nilidhani yale majina ya Wabunge wa Viti Maalumu wa CHADEMA yalizingatia uwakilishi kama wafanyavyo UWT ya CCM.
Kumbe hawa CHADEMA wamepeleka majina ya viongozi watupu ukiwemo uongozi wote wa BAWACHA yaani Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Manaibu Katibu Mkuu, Mtunza Hazina nk.
Ni...
Nimeumia sana kwa kitendo cha jana. Pamoja na Simba kutokuwa na washambuliaji wao Mahiri bado wanafunga ktk wakati ambao tuliamini tumeshinda.
Mimi ni Mwanayanga ambaye huwa siumi umi maneno. Jana Simba wameshinda 1-0 ukiondoa lile bao la penalty ambalo tulipewa.
Najua wanayanga wenzangu...
Huu ni wosia Mzito kutoka team X team yakuhakikisha CCM anabaki kwenye Dola miaka inayo au laa mbeleni wategemee kugawana fito.
Na hii ni baada yakuonekana uchaguzi wa mwaka huu 2020 wenye Dola wanataka kuikamata Dola kisawa sawa Yani ni ccm mwanzo mwisho. Ila wenye akili wakatoa haya.
Mnaweza...
Wote waliopo 'pale' hakuna aliyeitwa National Team hata kwa kutajwa tu...Hata hivyo Yanga imemnasa Kitasa Saidi Ntibazonkiza. Tunasema hivi Yanga ilipo tupo.. Bw Saidi akifika tunamsubiri kwa hamu tukamlaki Pale Airpprt
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.