Sasa unaweza kujipatia logo kari sana kama hizi kwa bei nzuli kabisa na kwa muda lafiki karibu sana
MLB (Mnyilinga logo bank ) 😁😁
Kwa mahitaji ya logo nichek DM tuongee kwa bei nzuri sana na kwa muda lafiki wa kufanya kazi yako .
Kila la heri Morocco team, wengine tupo nyuma yenu dhidi ya Portugal, wale maadui na wasiowapenda Morocco/waarabu haiwahusu mada hii.
Kila la heri ndugu zetu Morocco, tupigieni hao ndugu zao brazili warudi nyumbani kwao haraka kama ilivyo kwa croatia jana wamemfukuzisha kocha wao tite, leo ni...
Habari wazee wa business.
Kwenye kuzurura mtandaoni nimekutana na business idea ambayo inaweza kutumia ata hapa bongo na kufanya vizuri, nimegundua hili baada ya kwenda kkoo kununua vitenge vya jumla nakuona ambavyo sipat faida kubwa kama ningenunua kama team/group. Kuna winga uwaga namtumia...
Huu uzi ni mahususi kwa ajili ya matukio yote yanayoihusu timu ya mpira wa Miguu ya Uingereza.
Timu hii inajulikana kwa jina la Utani la Three Lions, yaani Simba Watatu. Jina hili limechochewa zaidi na nembo ya timu hiyo yenye alama ya Simba watatu (tazama picha)
Timu hii ipo chini ya...
Kiutani utani tu popularity ya Bashiru imeongezeka ghafla Sana yeye ni Team Hustlers anawapigania wanyonge wacha nao wanaowapigania mabwenyenye tuwaone wanaendeleaje
Admins nimeweka hii ahadi kuwa ikitokea bahati mbaya. Maana si rahisi. Simba akamfunga yanga natuma picha humu nimekalia moto nikiwa uchi. Na naomba members wawili au watatu wawepo kama mashaidi. Nikishindwa nipigwe ban mwezi mzima.
Simba ni team mbovu kwa Yanga. Simba haiwezi mfunga Yanga...
Hili Mulamula, I guess and I say I guess lilimshinda na limemuondoa. Nilikuwa simsikii akipaza sauti za uchawa wa kusifu na kusifia mamlaka ya uteuzi wake.
Nasema inawezekana hili limemuondoa maana may be alitaka kusema ukweli badala ya utaratibu wa kusema uongo unaokubalika ndani ya CCM...
Requisition ID: 1056
Grade : SB2 – Local support
Country: Tanzania, united republic of
Duty Station : Dar-es-Salaam
Category: Local Support Personnel
Type of job Posting: Internal and External
Employment Type: NonStaff-Regular
Duration (tentative): 3 months
Application deadline: 26-Sep-2022...
Chama ni mchezaji mzuri sana wala nisiwe mnafiq.... Ni bonge la mchezaji yaani huyu bwana kama unataka kujifunza kucheza mpira si vizuri kumwangalia. Anaweza kukudanganya ukaona mpira ni mchezo rahisi sana. Ukaamini hata wewe unaweza enda cheza kama anavyocheza.
Chama si mchezaji wa kumwamini...
Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na...
Nimeumia sana kuona mchezaji (Mshambuliaji)wangu ndani ya kikosi changu cha Msimbazi KOPE MUSHIMBA MUGALU akibezwa na baadhi ya mashabiki wasiojielewa.
Nani hajui mziki wa huyu jamaa?
Nani hajui mchango wake kimataifa?
Kwanini hamtaki kumpa hadhi yake huyu mkongomani?
Bila shaka hiyo ni...
Habari wana JF, Kiongozi wa nchi huandaliwa kwa Muda mrefu kwa Manufaa ya Taifa, sio kuchaguliwa bila kumjua vizuri .
Kwa Mimi nimefikiri na kuchambua na kupata hawa Watu wanafaa kabisa kuandaliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania:-
1. Rais Hussein Mwinyi
2. Bashiru Ally
3. Askofu...
Haya mambo ya watu kuheshimiana na kupendana hivi huwezi kuyakuta kwa makolo, manara wakati anayapigania makolo na kupiga marufuku washabiki wa yanga kuingia uwanjani mechi ya CAF Barbra alitoa statement ya klabu kupinga maamuzi yake, hawakumuunga hata mkono kwenye vita dhidi ya kitenge, Shafih...
Team mwaka huu imechukua ubingwa chini ya Msolla na inaenda kuchukua ubingwa wa Afrika ama kwa hakika anatosha kabisa kuupata Urais wa klabu bora kwa viwango vya CAF eneo la Afrika Mashariki yaani the MIGHTY DAR YOUNG AFRICANS..
Kubabaika na wageni toka Somalia ni ukosefu wa akili, twende na...
1. JOB INFORMATION
Organization:
Division: Corporate
WASSHA Inc. Tanzania
Workstation: Dar es salaam
Department:
Number of applicants; 1
Administration
Application email: hr@tz.wassha.com
Job Title:
Application dealdline:23rd May 2022
Procurement and administration Team...
Azimio La Umoja coalition leader Raila Odinga has announced a list of nominees who will be part of his Cabinet if he ascends into power in the August General Election.
He was speaking on Monday at the Kenyatta International Conference Center (KICC) as he unveiled his presidential running mate...
Job no: 496272
Work type: Temporary Full-Time
Location: Tanzania – Mwanza
Categories: Strategic Information/Surveillance/Monitoring & Evaluation
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks...
Job no: 496273
Work type: Temporary Full-Time
Location: Tanzania – Mwanza
Categories: Research
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly qualified candidates to serve as Team Leader...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.