Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,463
- 21,180
Naona Clouds media wametuma wawakilishi wao kwenda Rwanda Kigali kwenye usiku wa tuzo za Trace Music Awards Festival zinazofanyika hii leo.
Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana bango hili suala ,yani haipiti dakika wameshampost Diamond Platnumz, ukifumba na kufumbua wameshampost Zuchu, ila kwa Juma Jux naona hawafanyi hivyo.
Ila yote tisa, hawa jamaa wamefunga safari mpaka huko kwa sababu zipi haswa za msingi?
Na je leo watamuhoji Diamond Platnumz na Zuchu?
Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana bango hili suala ,yani haipiti dakika wameshampost Diamond Platnumz, ukifumba na kufumbua wameshampost Zuchu, ila kwa Juma Jux naona hawafanyi hivyo.
Ila yote tisa, hawa jamaa wamefunga safari mpaka huko kwa sababu zipi haswa za msingi?
Na je leo watamuhoji Diamond Platnumz na Zuchu?