2025 ndani ya CCM ni team Lowassa + team Magufuli vs. Team Msoga

Mzalendo Uchwara

JF-Expert Member
Jan 26, 2020
3,718
11,708
Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.

Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.

2025 ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
 
Mwenyekiti alijaribu kuwaleta karibu team Msoga na kuwatimua team JPM, lakini akausoma mchezo kuwa vijana wa Msoga wana ambitions kubwa mno hiyo 2025, akizembea hata yeye anawekwa pembeni. Vilevile ushawishi wa JPM bado ni mkubwa mno kwenye siasa za nchi hii.

Uelekeo wa sasa ni mwenyekiti kwenda na team Lowasa plus team JPM. Kwa kuzileta hizo team mbili karibu kuna uwezekano wa team Msoga kumalizwa mazima this time.

2025 moto ni mtihani mzito kwa chama kuliko hata 2015.
Na hayo wewe huyapendi?
 
Smart move Mama. Changamoto ni je, team Lowassa wangapi hawana mizizi ya team Msoga? Mama weka wasio na team wengi zaidi kuliko wenye team huku chini. Utanishukuru na nitapokea shukrani.
Absolutely, JPM aliweza kutengeneza team mpya. Mama anaweza ku take advantage wa wale wasio ndumila kuwili kutoka kwenye makundi hayo, angalau atakiunganisha chama kwa kiasi fulani.
 
Absolutely, JPM aliweza kutengeneza team mpya. Mama anaweza ku take advantage wa wale wasio ndumila kuwili kutoka kwenye makundi hayo, angalau atakiunganisha chama kwa kiasi fulani.
Very well said Mzalendo Halisi. Mtihani ni kuwaunganisha ila kwakuwa njaa na matumaini ya kuendelea na nafasi zao ndio majority wanahitaji,anaweza fanikiwa. Baada yake sasa ndio kutakuwa na kuzikana.
 
Huyo jamaa mnamu overrate sana, hana power kihivyo kama mnavyodhania labda kama ungesema rostamu hapo sawa lakini hao wengine watumikaji tu, kiungo kati ya wenye power na kwenu, lakini hawana power kihivyo na wala hawaamui chochote kile, wenye power huwezi kuwaona majukwaani wala kuwasikia …
 
huyo jamaa mnamu overrate sana, hana power kihivyo kama mnavyodhania labda kama ungesema rostamu hapo sawa lkn hao wengine watumikaji tu, kiungo kati ya wenye power na kwenu, lkn hawana power kihivyo na wala hawaamui chochote kile, wenye power huwezi kuwaona majukwaani wala kuwasikia …
Rostam ni middle man mzuri na ana ushawishi kwa viongozi wa juu lakini hana ushawishi wowote kwa wananchi wapiga kura..
 
Rostam ni middle man mzuri na ana ushawishi kwa viongozi wa juu lakini hana ushawishi wowote kwa wananchi wapiga kura..

nani mwenye huo ushawishi sasa kwa wapiga kura? Wapiga kura hawaamui chochote na raisi huwekwa na powers za nje ya nchi au unafikiri kwa nini uhuru kenyata na raila wote wawili waliungana na sio kuungana tu uhuru kenyata alikuwa raisi wa nchi lkn walishindwa na ruto ambaye alikuwa hana power kiivyo? kama
kura wajaluo na wakikuyu mpaka makabila mengine waliungana lkn walishindwa n ruto unafikiri ilitokea tu? sasa ruto anatekeleza matakwa ya wale waliomuweka hapo au unafikiri kwa nini umeme hauwashwi tanzagiza ? kwa nini wanazima umeme kwa manufaa ya nani unafikiri?
 
Back
Top Bottom