Mtoto wa aliyekuwa Rais wa awamu ya pili wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Marehemu Sheikh Aboud Jumbe Mwinyi, ndugu Mussa Aboud Jumbe, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Jumanne, Oktoba 21, 2025, huko kwao Migombani, Visiwani Zanzibar.
Marehemu Mussa Aboud Jumbe aliwahi kuhudumu kama...