tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. figganigga

    Polisi wazingira Kanisa la Gwajima la ‘Ufufuo na Uzima’ usiku. Wananchi wajazana eneo la tukio, wagoma kuondoka!

    Dar: Polisi wazingira kanisa la Gwajima la Ufufuo na uzima. Ni taharuki kwa Wakristo Nchini. Je, Nchi inaenda wapi? Kanisa lina kosa gani? Kama kakosea Gwajima angekamatwa Gwajima. Kanisa la Ufufuo na Uzima lipo Duniani kote Msajili kakengeuka. Risasi za moto Kanisani za nini? Chezea Siasa...
  2. mika micah

    "Yule" Wa Tanzania 🇹🇿

    In every country, there’s that one name you don’t have to say. In Tanzania... You just say: And kama uchawi vile— 🧠 everyone knows who you mean. No name. No description. No GPS. --- It’s as if she cast a national spell. Try it: 💬 Say “You-know-who” in a sentence… ↪️ The room falls silent. ↪️...
  3. Bunchari

    Kwa haya yanayoendelea kuna umuhimu wa kuwepo Baraza la Dini mbalimbali Tanzania (Inter-Religious Council of Tanzania)?

    Habari wakuu Hili baraza liliundwa baada ya mashauriano kati ya taasisi za kidini kama BAKWATA, TEC, CCT, CPCT, pamoja na wawakilishi wa dini ya Hindu, Baha’i, na Budha. Malengo ya IRCPT ni pamoja na - Kuwezesha viongozi wa dini kushiriki katika utatuzi wa migogoro na kuzuia migogoro kabla...
  4. TODAYS

    UKOO: Hakuna Mgumu wa Kutoa Sauti, Hata Mmoja

    Nina uchungu. Hakuna mzee hata mmoja wa kuonya Mkapa, Mwinyi hawapo. Mzee Mkapa ndiye alikuwa anauthubutu wa kusema wazi na kukemea yeyote kwenye nchi hii ukitoa Baba wa Taifa. Kwa sasa nchi haina powerful end say, ndiyo tujifunze kushabikia wanasiasa vizuri. Nchi haina baba na waliopo ndiyo...
  5. Jamii Opportunities

    Sales and Marketing Personnel (25 Positions) at Beauty Group Tanzania May 2025

    Sales and Marketing Personnel (25 Positions) at Beauty Group Tanzania Background Angela Peace and Love Company Limited (Beauty Group Tanzania) is a company registered under the laws of Tanzania, specializing in selling used clothes, shoes, bags, new shoes, and towels. The company headquarters...
  6. Dr Matola PhD

    Wapenda haki tunataka kusikia tamko la Umoja wa Makanisa Tanzania CCT

    Sina mengi kama heading inavyosomeka umoja wa makanisa Tanzania CCT utoke hadharani na tamko lake ili tujuwe msimamo wa kanisa ni nini juu ya haya yanayoendelea.
  7. Nyani Ngabu

    Hayati Magufuli alikosea kwenye mambo mengi mno. Kubwa mojawapo ni kumchagua huyu mtu

    Mtu huyo ni Rais Samia! Nashawishika kabisa kuamini kuwa huyu Samia alichaguliwa kutokana na jinsia yake tu [kama ilivyojuwa kwa Kamala Harris…the word salad queen…kule Marekani]. Ref: Uchaguzi 2020 - Mkutano Mkuu wa CCM 2020 wamchagua John Magufuli kuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
  8. Genius Man

    Suala la kushambulia viongozi wa kidini na kufunga makanisa yao linachafua sana taswira ya Tanzania tunaonekana hatuna akili

    Suala la kushambulia viongozi wa kidini na kufunga makanisa yao kisa kukemea utekaji na mauwaji linachafua sana taswira ya Tanzania tunaonekana hatuna akili. Hata kama mfano unataka uraisi Sasa uraisi unakuwa na maana gani kama dunia ikunyooshe vidole wewe, watanzania hawakutaki unajifachafua...
  9. figganigga

    Polisi Tanzania nata na biti. Wapigeni CHADEMA ili mpandishwe vyeo

    Baada ya Polisi kujua kwamba wakionesha ukali kwa CHADEMA ndo wanapandishwa vyeo, hivi ndivyo wanafanya. Mwanaume mwenzangu anipige hivi, nitakubali ila lazima ntamfuatilia yeye na kizazi chake hadi waniambie kosa ni nini. Je, ni kweli njja za Polisi Hasira wanapelekewa CHADEMA? Wanasiasa...
  10. Waufukweni

    Waziri Mhagama: Zaidi ya watu milioni 1.5 Tanzania wanatumia ARVs

    Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amesema katika kipindi cha Julai 2024 hadi kufikia March 2025, takwimu zinaonesha Watu 1,500,212 kati ya waliopima na kutambua hali zao za maambukizi ya VVU walikuwa wameanza kutumia dawa za kufubaza VVU, sawa na asilimia 98. Akitoa hotuba kuhusu Makadirio ya...
  11. R

    Msikilize Mo Ibrahim anavyoshangaa Tanzania kuwa na utawala wa kidictator kuwatesa wapinzani, kitu ambacho anasema hakutegemea kutoka Tanzania

    .....among other Places, Tanzania?!! Hakutegemea kuwa Samia anaweza kuwa hivi alivyo! Sikiliza
  12. Mtuache

    Nauli kutoka Tanzania - Ufaransa 30,000/= Je upo tayari?

    🚨Shirika la ndege la gharama nafuu kutoka Ireland, Ryanair, limeibuka na wazo jipya la kupunguza zaidi nauli za ndege: kuondoa viti kwenye baadhi ya safari zake. Mpango huu unalenga kuanzisha safari maalum ambapo abiria watasimama kwa muda wote wa safari, kwa kutumia mikanda ya usalama maalum...
  13. D

    KERO Tanzania ya sasa barabara ni mbovu hadi wananchi tunaogopa kusafiri

    Yani hii Tanzania sio kabisa ukiambiwa miaka mitano nyuma tulikuwa tunateleza tu hutaamini barabara ni mbovu sana. Watu wamegoma kusafiri bila emergency payment maana wanajua hali ikibadilika, safari ya siku 3 itakuwa ya week. This is shameful, hatuna highway hata moja nzima, ni potholes...
  14. Lord Denning

    Kwa mwendo huu hakuna mwekezaji atakayekubali shauri lake lisikilizwe na Mahakama za Tanzania na hakuna shauri la nje ya Tanzania Serikali itashinda

    Huwa nawaonea huruma sana Watanzania wanaopiga kelele kuhusu kwa nini hawapati wawekezaji wakubwa kuwekeza ndani ya nchi yao. Rostam Aziz alipotusanua kuwa Mahakama zetu zina shida kiasi kuwafanya wawekezaji kuogopa kupeleka mashauri yao, tulimuona anakosea sana Ila ukiona namna hoja za...
  15. Masalu Jacob

    Msimamizi wa Majiji Tanzania: Tanzania City Authority

    Oooh habari Tanzania ! Pole kwa majukumu Mtanzania ya hapa na pale. Naomba kuweka wazo langu hapa jukwaani. Nimekuwa nikiwaza kwa muda mrefu kuwa hapa Tanzania miji inakuwa kwa kasi sana na kupelekea kupata changamoto kubwa hususani kwenye Majiji yetu mfano; Msongamano mkubwa wa vyombo vya...
  16. Common Folk

    Kwa jinsi hadhi ya Tanzania ilivyo, bado hatujafika mstari wa kushitakiana kwa kesi za "UHAINI", yaani "TREASON"

    Note: Nchi yoyote inayoendekeza kesi za uhaini, mwisho wake ni mbaya!! Uhaini siyo jambo la mchezomchezo!! Na kwa nchi zenye viongozi wenye upeo wa mambo, haziwezi ruhusu kesi za uhaini wapewe non-millitary personels ovyo ovyo! Demokrasia yetu kidogo inaendana na Afrika Kusini. Nginjanginja za...
  17. Mai-Ndombe

    Somo zuri kutoka kwa Dkt. Hussein Mwinyi-Rais wa Zanzibar kwa viongozi wote wa Tanzania

    Enyi viongozi mliopewa dhamana na wananchi kuliongoza hili taifa chukueni huu ushauri mzuri kutoka kwa Dr Hussein Mwinyi utawasaidia. Tusipokuwa makini UCHAWA utaliangamiza taifa, leo hii Daktari anayeokoa maisha ya watu kila siku pale Muhimbili hana issue kuliko Mwijaku anayesifiasifia tu hata...
  18. Dalali_wa_kimataifa

    YARD &GODOWNS FO SALE

    Eneo zuri sana kwa uwekezaji wa Viwanda, Yard na Magodown linauzwa Vingunguti Machinjioni, Ukubwa wa eneo ni 2 Acres Bei 2.5bill tsh Document: Available Contact us and Schedule a visit!! 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717 #plot #sale #realestate #housforsale #plotsforsale #godowns
  19. Lord Denning

    Pamoja na mapungufu yao yote, ninachowapendea TISS wanajua kila kitu kinachofanywa ndani ya Tanzania

    Ukiwa kiongozi ukiiba watajua na taarifa watazihifadhi Ukila rushwa watajua na taarifa watazihifadhi. Ukianzisha kikundi chako nje ya mfumo wa vyombo vya dola kwa ajili ya kazi zako chafu ikiwemo kuteka na kupoteza watu watajua na taarifa zote watazihifadhi. Ukiamuru watu watekwe na wauwawe...
  20. Even MOre

    Semi Final | PONJORO VS KENGE June 1, 2025.

    Ni wakati mwingine tena tunakukaribisha katika mtanange wa mkubwa hatua ya Nusu final katika Kombe la wimbi la UTEKAJI TANZANIA. Timu zilizoko uwanjani leo ni kati ya KENGE FC vs PONJORO FC, huku Kocha mkuu wa Ponjoro Fc kutoka Kinondoni akiwahakikikishia ushindi na kutinga final wale mbonga...
Back
Top Bottom