Tanzania kuna natural hot springs ngapi?

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,321
Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?

Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.

Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.

Ahsante.
 
Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?

Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.

Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.

Ahsante.
Ninayoijua ni majimoto - ngoreme Serengeti Mara
 
Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?

Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.

Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.

Ahsante.
Mbeya pia tunayo
 
Nyingine
Naomba kuuliza, je Tanzania tuna visima vya maji ya moto vya asili vingapi?

Mimi najua kuna Majimoto iko Katavi na Majimoto iko Serengeti ila nasikia kuna nyingine iko Manyara na nyingine Moshi, sasa sina hakika kuhusu hizo mbili za Manyara na Kilimanjaro maana hii nchi hizo taairfa haziko documented popote.

Naomba kufahamu idadi ya hot springs nchini Tanzania.

Ahsante.
Nyingine iko Iringa mkuu. Ukiwa Kalenga ni rahisi sana kufika hapo.
 
Back
Top Bottom