WHO ARE THEY ? Educated, Skilled, Experienced Corporate CEO's In Tanzania compare to our neighbors ?

CONSULT

Senior Member
May 8, 2011
194
199
WHO ARE THEY ? Educated, Skilled, Experienced Corporate CEO's In Tanzania compare to our neighbors ?

Moja ya changamoto kubwa tulionayo kwenye maendeleo ya ujasriamali hatimaye uchumi ni kukosekana kwa hawa watu muhimu (local content)kwa ngazi ya kitaifa na wawe kama role models kwa jamii nzima na vizazi vifuatavyo.

Hoja yangu kubwa hapa kama mnakubaliana na mimi ni nini au mikakati gani ifanyike kuokoa jahazi, kuukomboa uchumi wetu ambao uko hatarini kuendelea kwa kasi kumilikiwa na wageni ?

Bahati mbaya sana hivi majuzi tumewapoteza hao wachache na muhimu sana kwa taifa (Mzee MENGI, Mzee MAFURUKI n.k)


Tunawahitaji wote Employed(Intrapreneurs)Wajasriakazi kama Bob collymore aliyekuwa CEO wa Safaricom and Self employed(Entreprenuers) Wajasriamali kama mzee Mengi.

Tuendelee ! !
 
Huu uzi mzuri
Vyema tukajuana

Kwa kua ni siku ya 'wabeijing' leo

Mi nianze kwa kumtaja Dada Mwamvita Makamba
Ana sifa nyingi kuweza kupambana na raia wa nchi zingine...very potential in every way...mwenye CV yake anaweza weka

tuendeleee...
 
Naipongeza awamu ya tano kwa kuchukua hatua kuhakikisha wageni wanaoshikilia nafasi ambazo watanzania wanaweza kuzishika wanaondoka. Wageni wengi sasa hivi vibali vikiisha hawaongezewi ili kutoa nafasi kwa vijana wetu.
Hii ni hatua ya kwanza.
 
Huu uzi mzuri
Vyema tukajuana

Kwa kua ni siku ya 'wabeijing' leo

Mi nianze kwa kumtaja Dada Mwamvita Makamba
Ana sifa nyingi kuweza kupambana na raia wa nchi zingine...very potential in every way...mwenye CV yake anaweza weka

tuendeleee...
Nyuzi (threads) constructive kama hizi zinakosa wachangaiji kabisa, sasa ungeanzisha mada ya umbea sijui msanii gani amesahau kuvaa nguo ya ndani sasa uone comments zinavyojaa.

Watanzania bado tunasafari ndefu sana kwa kweli.
 
WHO ARE THEY ? Educated, Skilled, Experienced Corporate CEO's In Tanzania compare to our neighbors ?

Moja ya changamoto kubwa tulionayo kwenye maendeleo ya ujasriamali hatimaye uchumi ni kukosekana kwa hawa watu muhimu (local content)kwa ngazi ya kitaifa na wawe kama role models kwa jamii nzima na vizazi vifuatavyo.

Hoja yangu kubwa hapa kama mnakubaliana na mimi ni nini au mikakati gani ifanyike kuokoa jahazi, kuukomboa uchumi wetu ambao uko hatarini kuendelea kwa kasi kumilikiwa na wageni ?

Bahati mbaya sana hivi majuzi tumewapoteza hao wachache na muhimu sana kwa taifa (Mzee MENGI, Mzee MAFURUKI n.k)

Tunawahitaji wote Employed(Intrapreneurs)Wajasriakazi kama Bob collymore aliyekuwa CEO wa Safaricom and Self employed(Entreprenuers) Wajasriamali kama mzee Mengi.
Tatizo kubwa la wasomi wetu hapa Tanzania ni kuamini kuwa ukisoma sana wewe ni kuajiriwa tu.
They are not risk takers.
Uliowataja Mengi, Mfuruki, wote ni wasomi risk takers.
Katika business, education is an added advantage in decision making.

Watu mjitahidi kufuatilia , wale wote ambao ni wasomi na ni entrepreneurs, they make excellent Corporate CEOs.
 


Ukisoma na ku-analyse twitter hapo juu tunaona 3% ya school graduates wanakuwa absorbed na mifumo rasmi ya kazi kwa both public na private sector.
Kwa lugha rahisi mfumo rasmi kwa waajiri umeajiri only 3%

Ili tuwe efficient, twahitaji mfumo rasmi wa employers ambao watazalisha employment. Mfumo rasmi wa uzalishaji ukifikia 20% kuna lots will be achieved.

1597947358427.png


Rejea
Ubunge wa CCM ni "FURSA ya Kutoka" kuwa Waziri, Kupata Ajira ya miaka 5 au mengine mengine

hata think tank yetu kuanzia mjengoni, je tuna watu ambao wanakwenda kuunga mkono hoja bila kujua wanaunga nini??

Au tuna watu intelligent kama Yusuf ili waweze kumshauri "Farao" wetu ya kuona namna gani ya kuongeza uzalishaji wa ndani na ili kupunguza imports za vitu ambavyo uwezo wa ndani kuzalisha unaweza kutengenezwa.

Kwanini Tanzania ina import industrial sugar na sehemu kubwa ya ardhi yetu ni virgin na fedha miradi/uwekezaji wa maendeleo zilibaki TIB by 88%; yet twa import sukari kila mwaka tani elfu 50. How much could be earned locally kama tungezalisha ndani.

Kwanini Tanzania tusiwe na mashamba makubwa ya raw materials za mafuta ya kula ili kuwa na viwanda vya mafuta ya kula kwani twa-import by 60%

Hata mimi nina uwezo wa kuwa mbunge, ila huenda sikua na fedha za kutosha kujiandaa kuweka sawa wajumbe. Wale wanaoingia kwa dirisha kubwa, au dirisha dogo na wabunge 10, ma-DED, DC, RAS, RC, Makatibu wakuu; how do they equate our available market kama "colateral" ya ku-push viwanda viwepo kama tool ya kuzalisha ajira na kuongeza tax base ili uzalishaji ukifikia 20% kutoka 3%, iweze kuathiri the 80% badala ya kuathiri 97% ya sasa.
 
Naipongeza awamu ya tano kwa kuchukua hatua kuhakikisha wageni wanaoshikilia nafasi ambazo watanzania wanaweza kuzishika wanaondoka. Wageni wengi sasa hivi vibali vikiisha hawaongezewi ili kutoa nafasi kwa vijana wetu.
Hii ni hatua ya kwanza.

Ni kweli

NMB waholanzi walikuwa wagumu sana kumpa ceo mswahili.. naona wamesalimu amri wamempa mama mtanzania juzi kuwa ceo NMB
 
Back
Top Bottom