johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,845
- 141,768
Prof Kabudi amesema Tanzania iliipigia kampeni na hatimaye kura ndugu zetu Kenya kuwa mjumbe katika baraza la usalama la UN.
Kabudi amewataka watanzania kupuuza uzushi wa wapinzani kwamba hatukuiunga m!ono Kenya.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Kabudi amewataka watanzania kupuuza uzushi wa wapinzani kwamba hatukuiunga m!ono Kenya.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!