Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
Fatma karume a.k.a shangazi anasema anastaafu uwakili kwa sababu ya mahakama zetu kutokujitambua baada ya kusimamishwa uwakili nakuitwa kwenye kamati ya nidham akiwa km wakili. Naakasema haendi ili waamue wanavyoamua
Hakuna asiyejua kuwa ndg yetu fatma karume ameamua kubwaga manyanga baada serikali legelege kuwa serikali imara.
Hakuna asiyejua fatma na kundi la akina tundu lisu waliamua kutumia UWAKILI katika SIASA.
Tundu lisu na fatma karume kwanyakati tofauti wameongoza TLS kisiasa,
Leo fatma anaposema siendi kamati ya maadili nawafanye wanalofanya haina tofauti na yagazeti ka Tanzania Daima.
Tanzania daima waliandika habari za kuhamasisha maandamano wakimnukuu askofu bagonza tena front page nakwawino mwingi.
Hakika kila aliyesoma habari ile alishangaa habari km ile kuwekwa front page na ndani yagazeti lenye waandishi wazoefu wagazeti km Tanzania daima.
Kila msomaji alishangaa baada yakusoma habari ile nawengine walienda mbali sana kwa kudai waandishi wale na mhariri wao wamefanya makusudi
Nakweli baada ya mda mfupi gazeti likapigwa ban.
Kwahiyo hata fatma karume anavyodai haendi kamati ya maadili nihakika anajua ni nini kinachoenda kutokea ila kaamua kuja na drama km za gazeti la tanzania daima.
Nawashauri wanasiasa wafanye siasa km siasa, ndio maana mwl. Jk. Nyerere aliamua kuacha kazi ya ualimu nakwenda kuwa mwanasiasa.
Hakuna asiyejua kuwa ndg yetu fatma karume ameamua kubwaga manyanga baada serikali legelege kuwa serikali imara.
Hakuna asiyejua fatma na kundi la akina tundu lisu waliamua kutumia UWAKILI katika SIASA.
Tundu lisu na fatma karume kwanyakati tofauti wameongoza TLS kisiasa,
Leo fatma anaposema siendi kamati ya maadili nawafanye wanalofanya haina tofauti na yagazeti ka Tanzania Daima.
Tanzania daima waliandika habari za kuhamasisha maandamano wakimnukuu askofu bagonza tena front page nakwawino mwingi.
Hakika kila aliyesoma habari ile alishangaa habari km ile kuwekwa front page na ndani yagazeti lenye waandishi wazoefu wagazeti km Tanzania daima.
Kila msomaji alishangaa baada yakusoma habari ile nawengine walienda mbali sana kwa kudai waandishi wale na mhariri wao wamefanya makusudi
Nakweli baada ya mda mfupi gazeti likapigwa ban.
Kwahiyo hata fatma karume anavyodai haendi kamati ya maadili nihakika anajua ni nini kinachoenda kutokea ila kaamua kuja na drama km za gazeti la tanzania daima.
Nawashauri wanasiasa wafanye siasa km siasa, ndio maana mwl. Jk. Nyerere aliamua kuacha kazi ya ualimu nakwenda kuwa mwanasiasa.