Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
=====
KRA intercepts ethanol worth Sh6m at Kenya-Tanzania border
(KRA) has intercepted 20,000 litres of ethanol concealed under a bag of potatoes at the Kenya-Tanzania border in Namanga.
The Kenya Revenue Authority (KRA) has intercepted 20,000 litres of ethanol concealed under a bag of...
Takwimu za WHO zinaonyesha kuwa 30% ya wagonjwa wote wa Corona duniani wako Marekani.
Kadhalika Tanzania imekanusha taarifa za ubalozi wa Marekani kuwa hospitali zimexidiwa na wagonjwa wa Corona.
Serikali imesema maambukizi ya Covid 19 yamepungua sana na wananchi wanaendelea na shughuli zao...
Miaka ya 1776 Jasusi wa Kimarekani William Carmichael alitumwa na Taifa lake kwenda kutafiti na kujua ni kwa namna gani USA inaweza kuteka soko la Tumbaku Duniani ambalo lilikuwa limeshikiliwa na bara Ulaya. Kipindi hicho Ukraine ilikuwa ikizalisha tumbaku Bora kabisa na nyingi Duniani.
Jasusi...
Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amesema Ligi Kuu Tanzania Bara itaendelea kuanzia Juni 13, 2020 baada ya kusimama kwa zaidi ya miezi 2
Amesema ratiba ya kuendela na Ligi hiyo iliyosimama kutokana na janga la COVID19, itatolewa wiki hii Jumapili, Mei 31, 2020
Halafu mbaya zaidi, walisaidiana na Watanzania wengine kukatakata wenzao kwa mapanga, ama kwa kweli Watanzania mumekua aibu ya Afrika.
======
POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu nane, wakiwemo raia watano wa China, kwa tuhuma za kujeruhi Watanzania wawili kwa kuwacharanga na sime, baada ya...
Wanabodi,
Wanabodi, kila nipatapo fursa huwa ninawaletea makala ndefu za Kwa Maslahi ya Taifa, hivyo leo nimepata fursa tena naendelea na zile makala zangu za kuhamasisha uzalendo kwa jina la "Kwa Maslahi ya Taifa" ambazo zinaendeshwa kwa mfumo wa maswali, leo nazungumzia media za kimataifa...
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.
Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.
Kauli hizi zinaingilia...
May 27, 2020
Covid-19 Frontline live on CGTN TV
Madaktari wa Kitanzania na China wazungumzia uzoefu wakihojiwa Live na Televisheni ya kimataifa ya CGTN
Habari nzuri madokta waTanzania toka Prof. Mohammed Janabi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Dr. Charles Hospitali ya Kairuki Memorial Dsm...
Uganda imetangaza Wagonjwa 31 wapya wa #COVID19 waliopatikana baada ya sampuli 1,116 kupimwa ndani ya saa 24 zilizopita na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 253
Wagonjwa 23 ni kutoka mipakani ambapo sampuli 896 zilichukuliwa na 8 ni waliopimwa wakiwa Karantini baada ya kukutana na madereva...
Wanabodi,
Hatimaye Tanzania sasa tunaanza kufaidi rasilimali zetu za madini, ambapo leo, donge nono la dola za Marekani milioni 100, zimelipwa kwenye kile kibubu chetu pale kwenye ule mfuko Mkuu wa hazina ya serikali kama advance payment ya kile kishika Uchumba cha dola milioni 300, ambacho...
Job Summary
The successful candidate will manage and provide technical oversight of the development and implementation of the Land Restoration Initiative, a constellation of projects under the Global Evergreening Alliance (GEA).
CRS Tanzania will work in consortium with four partners to...
Dear all
Have registered for a new paypal account using the CRDB debit card and that my account was charged by paypal US$ 1.95 and the code sent to the bank. On requesting the bank statement I do not get the paypal code but the transaction code through my bank. How one get the PAYPAL CODE...
Katika miaka ya hivi karibuni, kuna mambo mengi sana yamefanyika nchini Tanzania ambayo yamerudisha nyuma sana juhudi za kujenga jamii iliyostaarabika, inayojiheshimu na inayoheshimika.
Leo sitamnyooshea kidole yoyote kwa lawama hizi ila naomba nigusie tu madhara ya kuwa ‘a pariah state’.
Kwa...
Mchambuzi wa maswala ya siasa duniani aliyesoma chuo kikuu cha Dsm Prof Patrick Lumumba amesema CCM ni chama cha siasa kilicho na filosofia na falsafa.
Prof Patrick amesema Chadema na Cuf ni vyama vichanga ambavyo bado viko katika harakati za " kutengeneza" filosofia na falsafa za taasisi zao...
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imemwita Kaimu Balozi wa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania Dkt. Imni Patterson ili kutoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ambayo Ubalozi huo umekuwa ukiyaandika katika mitandao yake ya kijamii bila ya uthibitisho.
Kaimu Balozi huyo...
Kampuni ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick...
Credit: Dorothy Ndalu - The East African
''Cost of living remained low in Tanzania in March despite the economic challenges brought on by the Covid-19 pandemic with the 12-month headline inflation easing to 3.4 per cent from 3.7 per cent in February. The Bank of Tanzania monthly economic review...
''INVESTORS' appetite on the 20 years Treasury bond auctioned last week was high making the instrument to end the trading session oversubscribed.
Through the debt instrument auctioned by the Bank of Tanzania (BoT), the government wanted to raise 117bn/-but the amount tendered jumped to...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.