Habari, Wanajamvi!
Kama nilivyosema hapo juu kuhusiana na Stanbic Bank TZ...
Watueleze wapi wanaipeleka pesa yetu inayosalia kama kilinda a/c baada ya kuhamisha,kutoa, ama kutuma pesa wakati wanakuwa wameshakata SH 3,000 kama makato yao ya mwezi?
Nachukia sana na wanakera sana kwa wizi huo...