tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. U

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan na Rais Hussein Mwinyi kuwa wageni Rasmi Kongamano la Viongozi wa Dini nchini

    Kongamano hilo kubwa la Viongozi wa Dini litafanyika Aprili 18, 2021 katika Ukumbi wa Chimwaga Dodoma. Mheshimiwa Rais wa Tanzania Mama Samia pamoja na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi watahudhuria wakiwa wageni rasmi
  2. Replica

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Tanzania inashindwa kuendelea mbele kutokana na kutokuwa na muendelezo wa utawala mmoja kwenda mwingine

    Mbunge wa Jimbo la Kawe Josephat Gwajima akitoa mchango kuhusu hotuba iliyotolewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi nyingi za Kiafrika zimekuwa haziendelei kwa kasi ya maendeleo kutokana na kushindwa kutumia rasimali kwani inaendana na 'manpower'. Pia ameeleza kuwa Tanzania...
  3. Ikaria

    JamiiForums Tanzania Passport ya Kenya na Tanzania zaorodheshwa namba 8 na 9 mtawalia kwenye Passport zenye nguvu zaidi barani Afrika

    Kwa mujibu wa Ripoti ya Henley Passport index. • Pasipoti ya Kenya ni ya 8 yenye nguvu zaidi barani Afrika. • Pasipoti ya Tanzania ni ya 9 kwenye orodha. ✓Pasipoti ya Ushesheli🇸🇨 ni ya kwanza barani Afrika, ikifuatiwa na ya Afrika kusini🇿🇦.
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at HJF Medical Research International, Inc. (HJFMRI)

    About HJFMRI Tanzania Program The Walter Reed Program Tanzania (WRP-T) is a collaborative effort that supports PEPFAR-funded HIV prevention and treatment activities in the Southern Highlands and within the Tanzania People’s Defense Forces (TPDF). HJF Medical Research International, Inc Tanzania...
  5. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania BAVICHA yaingia nchini Zambia kuwajulia hali wafanyabiashara waliokimbia unyanyasaji Tanzania

    Ile Taasisi bora ya vijana barani Africa kwa sasa, BAVICHA, imewasili nchini Zambia ambako inawajulia hali Lundo la Wafanyabiashara wa Tanzania kutoka Tunduma na maeneo mengine ambao walitafuta hifadhi ya kibiashara nchini humo baada ya kukimbia manyanyaso nchini mwao. Bavicha imeongea na...
  6. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Viongozi kumi (10) Bora Tanzania

    Tanzania imebahatika kuwa moja ya nchi iliyopata kuwa na viongozi bora kabisa Afrika na hata duniani kwa ujumla.Viongozi hao wamepata kuwa na mchango mkubwa Tanzania na hata kwa bara la Africa. Tunaona mifano ya Mwl. Julius Kambarage Nyerere ambaye amepigania uhuru si kwa nchi ya Tanzania tu...
  7. Ushimen

    JamiiForums Tanzania New Vacancies At VisionFund Tanzania Microfinance Bank Ltd (VFT MFB), April 2021

    1. Position Title: Loan Officers Work reference no. 003 Reporting to: Business Centre Managers PURPOSE OF POSITION To build and maintain a high quality loan portfolio which involves identifying clients, implementing and managing a credit program within a designated operation area of VFT-MFB...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Advocacy And Communications Officer Tanzania at Norwegian Refugee Council (NRC)

    Advocacy And Communications Officer Tanzania Kibondo, Kigoma, Tanzania, United Republic of Job Identification 1378 Job Category Advocacy Location Kibondo Degree Level Bachelor's Degree Job Schedule Full time Job Description All NRC employees are expected to work in accordance with the...
  9. Ushimen

    JamiiForums Tanzania IOM Tanzania Vacancies, April 2021- Operations Assistant-Field Support (8 Posts)

    JOB TITLE: Operations Assistant-Field Support (8 Posts) Vacancy Notice Number IOM/KSU/006/2021 Duty station Kasulu/Makere, Tanzania Type of Appointment & Durations: SST-4 Months with possibility of extension Reports directly to: National Associate Movements Operations Officer Overall...
  10. sinza pazuri

    JamiiForums Tanzania Penzi la Rayvanny na Paula laanza upya

    Baada ya yule kauzibe kupigwa kibuti cha nguvu na Kajala. Penzi limerudi upya na sasa limekolea nazi. ---
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Musukuma: Profesa Sospeter Muhongo usomi wake hauna faida kwa Tanzania

    Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Musukuma amemshukia mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo kwamba usomi wake hauna faida kwa Tanzania. Musukuma amesema ni wakati kwa Serikali kuwaamini wasomi aliowaita wa darasa la saba akidai kuwa wanakulia kwenye kazi. Mbunge huyo...
  12. Ushimen

    JamiiForums Tanzania US EMBASSY Tanzania Jobs April 2021/ US EMBASSY Tanzania Vacancies

    1. Position Title: Plumber Team Lead Summary: The U.S. Mission in Dar es Salaam is seeking eligible and qualified applicants for the position of Plumber Team Lead in the Facilities Maintenance Office. Duties Supervision 60% ● Supervises a workforce of six skilled employees engaged in...
  13. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Vigogo wa Gazeti la Tanzania Daima wafika ofisi za Wizara ya Habari na Michezo kwa Majadiliano kuhusu hatima ya gazeti hilo

    Baada ya Rais mpya kuamuru vyombo vya habari vilivyofungiwa kwa chuki na husda vifunguliwe , baadhi ya vyombo hivyo vimaeanza kufika wizarani ili kufahamu hatma zao . Leo ilikuwa zamu ya Tanzania Daima kuonana na Waziri Bashungwa ili kutatua utata kuhusiana na Gazeti hilo kufutiwa leseni...
  14. beth

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali imekamilisha malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema malipo ya ununuzi wa ndege mpya tatu yamekamilika, na zinatarajiwa kuwasili mwaka 2021/22. Akiwa Bungeni Dodoma leo, Waziri Mkuu amesema ununuzi huo utawezesha Serikali kuwa na jumla ya Ndege 12. Aidha, amesema kuanzishwa kwa safari za Guangzhou (China)...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa nahisi kwa hili la Kiwango cha 'UKIMWI' Tanzania ' Umedanganywa' na uliowaamini kiutendaji huko Serikalini

    Mheshimiwa bahati nzuri sana Sisi wengine kama Mimi Generalist ni Watu wa 'Kujichanganya' mno na Watu mbalimbali wenye Hadhi fulani, wa Kawaida na hata 'Kajambanani' Wenzangu. Mheshimiwa Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa kuna mahala nimekusikia na kukuona ukitoa Taarifa juu ya Maambukizi...
  16. beth

    JamiiForums Tanzania Urusi yasitisha safari za ndege kati yake na Tanzania

    Serikali ya Urusi imesema inapanga kusitisha huduma za anga kati ya Nchi hiyo na Tanzania kuanzia Aprili 15 hadi Juni 01, 2021 kutokana na hali ya mlipuko wa CoronaVirus Serikali imesema itapitia upya zuio hilo ikiwa hali ya mlipuko itatengemaa. Mbali na Tanzania, Taifa hilo pia litasitisha...
  17. kunta93

    JamiiForums Tanzania Je, Corona phase II imeisha Tanzania?

    👉 Upinzani wa mtandaoni (keyboard opposion) ukiongozwa na Kigogo, Maria Sarungi na fatuma karume ulilipigia sana kelele ila sasa hawalizungumzii kabisa licha ya serikali kutokubadilisha msimamamo wake juu ya janga hili 👉 Viongozi mbalimbali wameondoka katika kipindi cha hivi karibuni huku...
  18. Stroke

    JamiiForums Tanzania Ni Muda muafaka sasa Tanzania tuwe na Senate "Bunge la mabwanyenye"

    Wingu la siasa za nchi yetu limechafuka kwa mijadala mbali mbali kuhusiana na maswala muhimu ya kitaifa yaliyoibuliwa na ripoti ya CAG pamoja na comments za wadau mbali mbali kuhusiana na ripoti hiyo. Ripoti hiyo imegusia unaosemekana ni ufisadi uliotokana na mambo yanayohusiana na mikataba...
  19. Ushimen

    JamiiForums Tanzania PD Internship Programme 2021 – Field Innovation Hub Intern At WFP Tanzania, April 2021

    General Information Title of Post: PD Internship_Field Innovation Hub VA Reference no: 141660 Supervisor: Head of Innovation – Programme Policy Officer Unit: Field Innovation Hub Country: Tanzania Duty Station: Dar es Salaam Duration of internship: 3-8 months Expected Start Date: June/July...
  20. The Boss

    JamiiForums Tanzania Tumshinikize Rais Samia kuhusu satellite ya Tanzania...

    Ikifika July mwaka huu Rwanda watakuwa na satellite ya pili angani..ki nchi maskini kuliko sisi. Kenya wanayo, Egypt wanazo 9. Hii technology ipo available na gharama wala sio ya kutushinda kama Taifa. Ni nusu ya ndege moja tunazonunua au even chini ya hapo. Faida zake ni nyingi mno kulingana...
Back
Top Bottom