Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Habari, Wanajamvi!
Kama nilivyosema hapo juu kuhusiana na Stanbic Bank TZ...
Watueleze wapi wanaipeleka pesa yetu inayosalia kama kilinda a/c baada ya kuhamisha,kutoa, ama kutuma pesa wakati wanakuwa wameshakata SH 3,000 kama makato yao ya mwezi?
Nachukia sana na wanakera sana kwa wizi huo, Naomba Wizara husika iwashughulikie.
Karibuni kwa nyongeza.
Kama nilivyosema hapo juu kuhusiana na Stanbic Bank TZ...
Watueleze wapi wanaipeleka pesa yetu inayosalia kama kilinda a/c baada ya kuhamisha,kutoa, ama kutuma pesa wakati wanakuwa wameshakata SH 3,000 kama makato yao ya mwezi?
Nachukia sana na wanakera sana kwa wizi huo, Naomba Wizara husika iwashughulikie.
Karibuni kwa nyongeza.