Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Habari zenu wakuu,
Ama baada ya salam napenda nijikite kwenye mada ili nisiwachoshe wasomaji. Ndugu zangu unapokuwa nje ya nchi kwa lengo fulani la kutafuta maisha, ili ufanikiwe unatakiwa ufanye haya ninayoyataja hapa chini, lkn pia kama kuna mengine ambayo sikuyaandika hapa ktk list yang basi wengine mnaweza pia kujazia.
(1) Jambo la kwanza kama uliingia ktk nchi ya watu kihalali basi fata utaratibu wa kuendelea kuwa ktk hiyo nchi kihalali ili kuepuka matatizo ambayo yanaweza kutokea mbeleni
(2) Kama upo ktk hiyo nchi husika kikazi au kibiashara basi fata utaratibu unaoeleweka ili uweze kufanya kazi/ baishara yako kwa amani bila kubughuziwa na mamlaka ya nchi
(3) Kama ww ni mfanyakazi inabidi utafute sehem ambayo unajua ina watu wengi lkn haina huduma ya kutosha ya biashara unayofanya (bila kuangalia umaarufu wa mji)
(4) Jiepushe na maisha ya anasa.. i mean focus kwa kile kilichokupeleka ili usije ukateleza na kuangukia pua
(5) Tafuta marafiki au ndugu ambao wanaendana na mawazo yako.. i mean wale wanaoweza kukushauri kuhusu maendeleo ya kazi/ biashara yako na pia maisha yako (hapa simaanishi udharau wengine)
(6) Wekeza nyumban kwa kufungua miradi mbali mbali, jenga nyumba, nunua viwanja au mashamba, pia uwe na mawazo ya kurudi nyumban siku 1 hasa pale utapoona mambo yako ugenini yanaanza kuyumba
(7) Uwe na utaratibu wa kurudi nyumban mara kwa mara, hii itakusaidia kujua ni kipi unachohitajika kuwekeza nyumban kwa faida na maendeleo yako ya baadae. Ndugu zangu hayo ni baadhi ya mambo ambayo nimeamua kuwashauri kama rafiki yenu, ndugu yenu, mdogo wenu au mkubwa wenu. Kwahiyo mtu ana hiyari ya kuufuata au kuuacha ushauri huu.
Kwa upande wang namshukuru Mungu nimeweza kujisimamia ktk mambo fulan, kwa kufuata hayo niliyoandika hapo juu japo. Naweka na picha ya baadhi ya vichache nilivyojaaliwa kama faida ya kile kilichonitoa nchini kwangu kuja ugenini.
Hayo na maduka tofauti, niliyofungua sehemu tofauti kwa lengo la kufanikisha baadhi ya mambo yang yaliyonileta huku
Ama baada ya salam napenda nijikite kwenye mada ili nisiwachoshe wasomaji. Ndugu zangu unapokuwa nje ya nchi kwa lengo fulani la kutafuta maisha, ili ufanikiwe unatakiwa ufanye haya ninayoyataja hapa chini, lkn pia kama kuna mengine ambayo sikuyaandika hapa ktk list yang basi wengine mnaweza pia kujazia.
(1) Jambo la kwanza kama uliingia ktk nchi ya watu kihalali basi fata utaratibu wa kuendelea kuwa ktk hiyo nchi kihalali ili kuepuka matatizo ambayo yanaweza kutokea mbeleni
(2) Kama upo ktk hiyo nchi husika kikazi au kibiashara basi fata utaratibu unaoeleweka ili uweze kufanya kazi/ baishara yako kwa amani bila kubughuziwa na mamlaka ya nchi
(3) Kama ww ni mfanyakazi inabidi utafute sehem ambayo unajua ina watu wengi lkn haina huduma ya kutosha ya biashara unayofanya (bila kuangalia umaarufu wa mji)
(4) Jiepushe na maisha ya anasa.. i mean focus kwa kile kilichokupeleka ili usije ukateleza na kuangukia pua
(5) Tafuta marafiki au ndugu ambao wanaendana na mawazo yako.. i mean wale wanaoweza kukushauri kuhusu maendeleo ya kazi/ biashara yako na pia maisha yako (hapa simaanishi udharau wengine)
(6) Wekeza nyumban kwa kufungua miradi mbali mbali, jenga nyumba, nunua viwanja au mashamba, pia uwe na mawazo ya kurudi nyumban siku 1 hasa pale utapoona mambo yako ugenini yanaanza kuyumba
(7) Uwe na utaratibu wa kurudi nyumban mara kwa mara, hii itakusaidia kujua ni kipi unachohitajika kuwekeza nyumban kwa faida na maendeleo yako ya baadae. Ndugu zangu hayo ni baadhi ya mambo ambayo nimeamua kuwashauri kama rafiki yenu, ndugu yenu, mdogo wenu au mkubwa wenu. Kwahiyo mtu ana hiyari ya kuufuata au kuuacha ushauri huu.
Kwa upande wang namshukuru Mungu nimeweza kujisimamia ktk mambo fulan, kwa kufuata hayo niliyoandika hapo juu japo. Naweka na picha ya baadhi ya vichache nilivyojaaliwa kama faida ya kile kilichonitoa nchini kwangu kuja ugenini.
Hayo na maduka tofauti, niliyofungua sehemu tofauti kwa lengo la kufanikisha baadhi ya mambo yang yaliyonileta huku