tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. T

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania kuajiri watumishi 44,096 na kupandisha madaraja watumishi 92, 619

    Kada ya elimu wataajiri watumishi wapya 10,297, afya 11,215, kilimo 1,383, mifugo 1,250, uvuvi 733, Jeshi la Polisi 1,782, Magereza 843, Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na Uhamiaji 512 na watumishi wapya wa hospitali za mashirika ya kidini na hiari 1,240. Serikali ya Tanzania imesema katika mwaka...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Katiba: Tai nyekundu kuwa vazi la Mwenye Mamlaka imeandikwa kwenye ibara gani?

    Tumeonywa mara nyingi sana na wanasheria kwamba kutokujua sheria , iwe kwa sababu ya elimu yako duni , uzembe wako au labda ujinga wako wa kutokufuatialia sheria na makatazo mbalimbali ya nchi yako hakukufanyi usichukuliwe hatua za kisheria pale unapokosea , ukikutwa na hatia utahukumiwa bila...
  3. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania overtakes SA as Kenya’s top remittance

    THURSDAY APRIL 22 2021 SUMMARY Dollar inflows from African countries into Kenya dropped 65.9 percent in the first three months this year, with Tanzania overtaking South Africa as the biggest source of remittances. New data by the Central Bank of Kenya (CBK) shows that Kenyans living across the...
  4. mirindimo

    JamiiForums Tanzania Kakonko: Makusanyo kwa mwaka ni Tsh. Milioni 539, lakini Ujenzi wa nyumba ya Mkuu wa Wilaya umetengewa Tsh. milioni 700

    Wakati makusanyo ya mapato katika wilaya ya Kakonko kwa mwaka 2020/21 yalikua ni Milioni 539, ujenzi wa nyumba ya mkuu wa wilaya umetengewa milioni 700. Fedha hizi ni mara tatu ya fedha zinazogharamia elimu kwa shule za msingi Kakonko Ukarabati wa nyumba Katibu Tawala Kisarawe umetengewa...
  5. Replica

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Kassim Majaliwa avamia mwendokasi, ahoji mapato yalipo kama wanashindwa kununua mabasi. Mkurugenzi wa fedha atumbuliwa

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo amefanya ziara ya kushtukiza kituo cha mwendokasi eneo la gerezani na kukuta mfumo wa kusoma tiketi haufanyi kazi, mtendaji mkuu alisema mfumo haufanyi kazi baada ya kutokea mgogoro kati ya supplier na alieununua. Meneja huyo amesema mfumo mpya unajengwa na...
  6. Ushimen

    JamiiForums Tanzania New Job At Sandvik Tanzania, April 2021- Rock Tools Assistant

    JOB TITLE: Rock Tools Assistant Location: Bulyanhulu, Tanzania Job duties: ● Follow established guidelines or checklists to answer routine internal and customer enquiries on service and product availability, prices, delivery times, and the status of orders so that enquiries are dealt with...
  7. Ushimen

    JamiiForums Tanzania New Job At Unilever Tanzania, April 2021- Procurement Specialist

    Job Position: Procurement Specialist Location: Mufindi, Tanzania Business Context and Main Purpose of the Job: Provide support to the East Africa Procurement manager and Mufindi Team Job Summary ● To support the procurement organization to meet goals and objectives in support to the...
  8. Ushimen

    JamiiForums Tanzania New Job At Cool Blue Tanzania, April 2021

    JOB TITLE: Retail Sales Manager Location: Tanzania Overview We are looking for an experienced RETAIL SALES MANAGER to oversee the daily Sales operations of our products. He/she will be the one to ensure smooth running of operations to maximize sales and minimize costs. The ideal candidate...
  9. Ushimen

    JamiiForums Tanzania New Job At CBM Tanzania, April 2021- Programme Operations Officer

    JOB TITLE: Programme Operations Officer Location: Dar es salaam, Tanzania CBM seeks to recruit a Programme Operations Officer who will support the Programme department on operations and financial management for CBM partners and the country office. Reporting to the Finance Manager, the job...
  10. Ushimen

    JamiiForums Tanzania New Job At Save The Children Tanzania, April 2021- Driver

    JOB TITLE: DRIVER Location: Morogoro, Tanzania, United Republic of CHILD SAFEGUARDING: Level 3: √ the post holder will have contact with children and/or young people either frequently (e.g. once a week or more) or intensively (e.g. four days in one month or more or overnight) because they work...
  11. wazanaki

    JamiiForums Tanzania Tujiulize kuhusu usalama wa vyakula Tanzania

    wakuu, leo mtujikite kwenye mada ya vyakula, katika dunia ya sasa 90% ya vyakula tunavyokula ni industrial processed ni sehemu chache sana zilizobaki hasa vijijini ambapo unapata chakula pure, ambacho hakina preservative, ila mostly vyakula tunavokula vinatoka kwenye industries na makampuni...
  12. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bitter Kenyans are still trying to frustrate EACOP

    Case against pipeline project delays in Arusha WEDNESDAY APRIL 21 2021 By LUKE ANAMI A case seeking to stop construction of the oil pipeline from Uganda to Tanzania for failing to conduct an environmental and social impact assessment has failed to take off even as the two countries proceed with...
  13. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Tanzania imeendelea kushuka katika utetezi wa Uhuru wa Habari. Yashika nafasi ya 124 kwa mwaka 2020

    Reporters Without Borders (RSF) imeitaja Tanzania kushika nafasi ya 124 kati ya Nchi 180 Duniani katika kuimarisha Uhuru wa Vyombo vya Habari ili kutetea Haki ya kupata taarifa kwa Jamii. Tanzania imeendelea kushuka katika utetezi wa Uhuru wa Habari ambapo mwaka 2019 ilishika nafasi ya 118 huku...
  14. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania wabunge wetu wanajua majukumu yao? Je, wana uwezo wa hayo majukumu?

    1. Hakuna wazo jipya lolote ambalo wamewahi kutoa lenye tija na manufaa kwa wananchi. 2. Kila kinacholetwa na serikali hupita bila kikwazo chochote hata kama hakina manufaa. 3. Kwenye suala la kuongeza makusanyo ya kodi hakuwa wazo lenye afya au mantiki walilowahi pendekeza zaidi kuiachia...
  15. Sarikiaeli

    JamiiForums Tanzania Bila maombi maalum kwa Rais, hatuwezi kuishi kwa Amani na Utulivu nchini

    Kwa mujibu wa vitabu vitakatifu hili ni jambo zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu wetu. Kwa mfano imeandikwa hivyo katika 1TIMOTHEO 2:1-4 “Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya WAFALME NA WOTE WENYE MAMLAKA...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania na wezi wake - Sera ya kutumbua

    Sera ya kutumbua kisha ndio imetoka, ni dili ambazo huhitaji tena kufanya kazi serikalini. Tumezoea kusikia enzi zile za rais Magufuli mara amemtumbua huyu mara amemtumbua yule ni wengi sana wametumbuliwa na wananchi wakishangilia wasiyokuwa na ujuzi wala uelewa nayo. 1) Watanzania niwaulize...
  17. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Hakutawahi kutokea Tanzania Rais kama Mzee Kikwete

    Yeereeeeeh! Kamwe katika historia ya Tanzania hakutawahi kutokea Rais kama JK. Alikuwa mtu wa watu mpole wakati wote. Vijana wa TISS na UVCCM walikuwa wanamrukia hadi mabegani. Ndie rais wa kwanza Tanzania kuvaa jeans na Tshet hadharani. Hatutawahi kumpata kama JK.
  18. R

    JamiiForums Tanzania Waziri Kitila Mkumbo: Mgomo wa madereva wa kiwanda cha Dangote umeisha, uongozi umekubali kuwalipa stahiki zao

    Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo, jana amekutana na kufanya mazungumzo na Madereva takribani 500 wa Kiwanda cha Dangote Mkoani Mtwara, waliokuwa wamegoma kwa siku 12, baada ya majadiliano Uongozi wa Kiwanda hicho umekubali kuwalipa stahiki zao ikiwemo mishahara na kuahidi...
  19. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Abattoirs: Kenya vs Tanzania

    Sumbawanga Saafi meat
  20. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Kwanini Waandishi maarufu wa vitabu Tanzania wengi wao bado uchumi haujakaa sawa?

    Nadhani ni wengi hapa tumewahi kununua vitabu katika safari zetu za elimu. Unakuta kuna kitabu flani karibu kila mwanafunzi alikuwa nacho. Ila sasa ukija kuangalia hali za maisha za hao waandishi unakuja kugundua vitabu hivyo haviwasaidii sana kiuchumi. WHAT IS THE PROBLEM?
Back
Top Bottom